Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha (KEC), Bw. Anathe Nnko akifungua rasmi mafunzo ya kozi za muda mfupi kwa wanafunzi wa Chuo cha Biashara Kibaha. Mafunzo hayo yanatolewa kati… Read More
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga (RTO) Wiliam Mwamasika akizungumza wakati kuelezea mpango kazi wa Usalama barabara kwa Jiji la Tanga unaendeshwa na Shirika la Amend… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dar es Salaam kuhusu ufadhili kwa wahitimu wa Kidato cha Sita wapatao… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Baadhi ya Walimu kazini waliohitimu kozi maalumu ya mafunzo mbinu yaliyofanyika kwa miezi sita katika Chuo cha Partage Montessori cha BukobaMkuu wa Wilaya ya Bukoba Erasto Yohana Sima akitoa… Read More
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa tuzo kwa washindi wa Mafunzo ya Uanagenzi kwenye kundi la Makampuni makubwa kwa mwaka 2023. Makabidhiano hayo yalifanyika katika hafla kati ya Baraza la T… Read More
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Nyankumbu wakijisomea maktaba (library). Shule hii ya wasichana ni ya mfumo wa sayansi na inawanafunzi zaidi ya 1050, imesheheni vifaa vya maabar… Read More
Na Woinde Shizza ARUSHA Nabii Mkuu wa kanisa la Ngurumo ya Upako ambaye pia ni balozi wa Amani Afrika Dkt. Geordavie Kasambale ameahidi kuwaunga mkono wafanyabiashara wadogo… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda..Baadhi ya wadau wa Elimu waliohudhuria kwenye kikao maalum cha Menejimenti ya Wizara ya elimu nchini Jijini Dodoma .Na D… Read More
Mkurugenzi wa CAMFED Tanzania, Bi. Lydia Wilbard akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa mwisho wa mwaka wa watoto wasichana waliosomeshwa kwa msaada na Shirika la CAMFED, ambapo mkutano huo umei… Read More
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Taifa Shaka Hamdu Shaka akifungua bomba la maji ndani ya moja ya chumba cha Maabara shule ya Sekondari ya Ayalagaya iliyopo mkoan… Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa orodha ya majina ya wanafunzi 11,378 wa mwaka 2019/2020 waliopata mkopo wa awamu ya pili.Mkurugenzi mtendaji wa HESLB, Abdul… Read More
🚨 Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Ufundi Na Vya Kati - 2021 (First Selection)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI… Read More
TAASISI ya Rose Manumba Trust kwa kushirikiana na Give A Future Foundation kupitia program ya 'Jiajiri' wamekabidhi vifaa vya ufundi kwa wanafunzi kumi na moja waliopata mafunzo kutoka Mamla… Read More
Na Upendo Mosha, Rombo
MBUNGE wa Rombo, mkoani Kilimanjaro, Profesa Adolf Mkenda, amewaonya wananchi kuacha mara moja tabia ya kupuuza kuchoma chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 na badala yake ku… Read More
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe.Omari Juma Kipanga amesema serikali ipo kwenye mikakati ili kuhakikisha wanafunzi wanaopata ujauzito wanarudi kuendelea na masomo yao ba… Read More
Na MwandishiWetu, Mufindi
Benkiya NMB imetoa misaada ya vifaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 17.3 kusaidia kuboresha upatikanaji wa huduma za jamii katika Wilayani Mufindi… Read More
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga, ACP Debora Magiligimba akionesha Mpango Mkakati wa Kutokomeza Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto Mkoa wa Shinyanga wakati akizindua rasmi Mradi… Read More