Na Mwandishi Wetu.
Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), imeahidi kushirikiana na Benki ya NMB ili kuimarisha, kukuza na kuendeleza ujuzi na vipaji kwa vijana wa Kitanzania… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati akizindua rasmi Maonesho ya 18 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yanayofanyika Viwanja vya Mnazi Mmoja jiji… Read More
Na Mwandihi Wetu, Mtanzania Digital
JUMLA ya wahitimu 50 wa vyuo vikuu nchini wamepata fursa ya kupata mafunzo yanayotolewa na Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd (GGML) katika fani mbalimbali… Read More
Meneja Mwandamizi (Rasilimaliwatu) kutoka GGML, Charles Masubi akipokea tuzo kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia). GGML iliibuka mshindi wa pili katika tuzo zilizoandaliwa na Chama… Read More
Balozi wa Switzerland nchini Tanzania, Didier Chassot akimkabidhi mkurugenzi mtendaji wa taasisi isiyokuwa ya kiserikali ijulikanayo kwa jina la ZAINA FOUNDATION bi Zaina Njovu zawadi ya ubi… Read More
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) itafute mbinu bora zaidi na kuvijengea uwezo vyuo vikuu binafsi ili visaidie kuongeza udahili.“Tume itafute mbin… Read More
1. UTANGULIZINdugu Waandishi wa Habari,Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa jinsi anavyotulinda na kutuwezesha kutekeleza majukumu yetu kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu.Kipekee nap… Read More
Mfamasia na Katibu Mkuu wa Chama cha Wafamasia Tanzania, Benson Katundu katika mkutano wake na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo Ijumaa Aprili 22,2022 kwa ajili kukemea ukiukwaji wa sh… Read More
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.UMOJA wa vijana wanafunzi wazalendo wa Vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma, wamemuandikia Walaka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Serikali imesema haiwezi kuajiri wahitimu wote wa vyuo vya kati na vyuo vikuu kwenye sekta ya umma bali inachofanya ni kuwahamasisha kutafuta fursa katik… Read More
Asteria Muhozya na Abubakari Kafumba, UAE
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Dk. Musa Budeba ameishawishi Slovakia kuwekeza Tanzania kwenye uchimbaji a… Read More
Na. Peter Haule, WFM, Dar es SalaamNaibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, ametoa wito kwa Taasisi na Mamlaka za Umma kuseka mikakati ya kuwawezesha vijana hususani… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salam
Benki ya NMB imeanzisha utaratibu wa kipekee wa kuwasaidia vijana nchini kupitia jukwaa la huduma suluhishi za kibenki utakaowawezesha kifedha na kuwakwamua… Read More
Mkurugenzi wa Taasisi ya ya Agri Thamani Foundation Neema Lugangira (MB) kushoto akisalimiana na Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (MB) Job Ndugai wakati wa hafa hiyoMh… Read More
CHUO Kikuu Mzumbe, kimewaalika wanafunzi wote wanaotaka kujiunga na elimu ya juu kujisajili chuoni hapo ili waweze kuja kuwa chachu ya kuendelea kukuza uchumi wa kati.Akizungumza katika maon… Read More
Nteghenjwa Hosseah – OR-TAMISEMIWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)Selemani Jafo amelitaka Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA) na Taasisi ya Eli… Read More
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kutafakari namna ya kurekebisha baadhi ya dosari zilizopo likiwemo suala la kuwanyima mik… Read More
Ameandika Dotto Bulendu kwenye ukurasa wake wa FacebookTatizo la ajira kwa vijana nchini Tanzania ni kubwa kuliko tatizo la kikokoteo cha mafao ya kustaafu.Kama tulivyopiga kelele kuitaka Se… Read More
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanzisha utaratibu wa kuwasomesha wanafunzi wasiojiweza kifedha, wakiwamo wanaoshindwa kulipia ada na malazi baada ya wazazi au wategemezi wao kufari… Read More