Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amesema Tamasha la Kizimkazi linalotarajia kufanyika Zanzibar ni tamasha muhimu linalokufungamanisha utalii na… Read More
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ramadhani Kailima akizungumza leo Agosti 5,2023 wakati akitoa taarifa uwepo wa Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Mbarali Mkoani Mbey… Read More
Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kilosa, Kisena Magena Mabuba (kushoto) akimsaidia Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata ya Magubike, Juma Hamis Ngwele kubadika fomu za uteuzi za w… Read More
* Zitto, Lipumba wakwepa mtego, wautosa mkutano huo
* Wananchi wachache wahudhuria, wengi wachoshwa na siasa za uchonganishi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Mkutano ulioandaliwa… Read More
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele
********
Na Mwandishi Maalum - NEC
Wapiga Kura 74,642 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga K… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (Mstaafu), Mbarouk Salim Mbarouk akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa Uchaguzi… Read More
Mkurugugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima, akizungumza jijini Dodoma leo Juni 14,2023 wakati akitangaza taarifa ya uchaguzi mdogo wa Udiwani katika Kata 14 za… Read More
Na Seif Takaza, Singida
MKUU wa Wilaya ya Iramba mkoani wa Singida, Suleiman Mwenda ampempongeza Mchungaji wa Kanisa la EAGT la mjini Kiomboi Askofu Dk. Robert Kijanga kwa kuliheshimisha kan… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake Tanzania (TAWOMA) kimempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira mazuri ya biashara ikiwemo utulivuwa kisiasa, ut… Read More
Maofisa wa Benki ya Exim Tanzania akiwemo Mkuu wa kitengo cha Hazina na Masoko ya Dunia Bw Nelson Kishanda (katikati) wakikabidhi msaada wa chakula na mahitaji muhimu kwa mmoja wa wananchi… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati wa Kongamano la Miaka Miwili ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.Kongamano la Miaka Mi… Read More
Mwezeshaji kutoka TGNP, Bw.Deogratius Temba wakati akiwasilisha rasimu ya Sera ya Jinsia ya Chama cha CHAUMMA mbele ya Kamati Kuu ya Chama hicho leo Machi 11, 2023 katika ofisi za Chama hich… Read More
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga, Athumani Matuma Kilati akizungumza wakati wa Kilele cha madhimisho ya Wiki ya Sheria katika Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano… Read More
Mwanasiasa Mkongwe Khamis MgejaNa Mwandishi wetu -Kahama MWENYEKITI wa Taasisi ya Tanzania Mzalendo Foundation ya mjini Kahama mkoani Shinyanga, Khamis Mgeja amekitahadharisha Chama cha… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabura akiwasili katika Kanisa la AICT Kizota tayari kuzindua Dayosisi mpya ya Kanda ya Kati ya Kanisa hilo pia kushiriki kusimikw… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akizungumza katika Jubilee ya miaka 25 ya Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Kibiti na sherehe za… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Wakati Serikali ikiongeza muda wa siku saba kukamilisha zoezi la sensa ya watu na makazi, wananchi wameonywa kuacha tabia ya kuwadhalilisha makarani wa s… Read More
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekiri kupokea barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini kuhusu Uchaguzi Mkuu wa ndani wa Chama hicho, na kusema Chama hicho hakijakiuka Sheria… Read More