Na John Walter-BabatiWatu wawili wakazi wa Kijiji Endagile kata ya Mamire wilaya ya Babati mkoani Manyara, John Lulu na Zebedayo Safari, wamehukumiwa kifungo Cha miaka 20 jela kwa kosa la ku… Read More
Watu wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwenda jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na vipande tisa vya pembe za ndovu, kinyume cha sheria ya wanyama pori ya mwaka 2005 il… Read More
Sibtain Murji 43(Kishoto) na Zameen Murji 47 (Kulia) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kabla ya kusomewa mashtaka matatu likiwemo la kukwepa kodi kiasi cha Sh. Bilioni sita jijin… Read More
Mwenyekiti wa bodi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Gemma Akilimali leo Jijini Dar es Salaam akizungumza na wananchi wakati wa Maadhimisho ya siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia ambay… Read More
Mwandishi Wetu, Singida
Kituo cha sheria na haki za Binaadamu kimejitosa kumtetea Raia wa India aliyekuwa Meneja Mkuu,kiwa da cha mafuta cha Mountmeru Millers Ltd cha Singida, Thilak Kumar(… Read More
Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, (wa kwanza upande wa kulia waliochuchumaa) akiwa na wenzake Mahakamani**Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Saba… Read More
Afisa Uhusiano na huduma kwa Wateja kutoka Shirika la TANESCO Mkoa wa Dodoma Sarah Libogoma,akizungumza na wananchi wa Kata ya Mnadani wakati akihamasisha pamoja na kutoa elimu kwa wananchi… Read More
Mfanyabiashara Geofrey Kilimba, mkazi wa Salasala jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.Kilimba amesomewa mashitaka m… Read More
Mkurugenzi wa Uthamini wa madini ya almasi na vito wa serikali, Archad Kalugendo na Edward Rweyemamu, wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wamewasilisha maombi katika Mahakama ya Hakimu M… Read More
Viuatilifu vya zao la pamba Na COSTANTINE MATHIAS, Maswa.WAFANYABIASHARA watatu wilayani Maswa mkoani Simiyu wamekamatwa kwa kosa la kujihusisha na uuzaji wa viuatilifu vya zao la pamba… Read More
Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa tatu, Mohammed Abdil… Read More
Mapingamizi yametawala katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, tangu ilipoanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushw… Read More
Kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi leo imeanza kusikilizwa mahakama… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania(TASAC), limesema udhibiti makini wa sekta ya usafirishaji majini, mazingira baharini na nyaraka zinazoleta mizigo na kupelek… Read More
Na, Naomi Milton Serengeti Mongatoni Sururu(49) na Mashaka Machemba(33) wakazi wa Kijiji cha Mihale wilayani Bunda Mkoani Mara wamefikishwa mbele ya mahakama ya wilaya ya Serengeti kujibu ma… Read More