Rostam Aziz akisalimiana na Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema al Maarufu kwa jina la HH na kufikia makubaliano ya kuwekeza katika kuzalisha Umeme wa kutumia gesi nchini Zambia.
Rostam ali… Read More
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komredi Daniel Godfrey Chongolo ameeleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali, kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, kw… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa akizungumza na wananchi wa eneo la Pombe Shop Chamwino Morogoro usiku alipokwenda kutatua mgogoro wa ardhi tarehe 22 Sept 2023… Read More
Hakuna kitu kinauma kama mke wako ambaye unamtunza kwa kumgharamikia kila kitu ili aweze kuishi vizuri na kupendeza unasikia anatembea na mwanaume mwingine nje ya ndoa.
Jambo hilo limewah… Read More
Naibu Katibu Mkuu wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo),Dkt Daniel Mushi akiongea na uongozi na wafanyakazi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata nyama cha Eliya Food Overseas Ltd kilichopo wilaya… Read More
Rufiji. Tarehe 25 Agosti 2023: Baada ya Benki ya CRDB kufungua tawi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa amewakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya Tanzania kuja kuwek… Read More
The best Kenyan footballers earn the most significant salaries the game can offer. After dazzling in the Kenyan Premier League, they moved to clubs overseas which saw their wages skyrocket… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimkabidhi hati milki ya ardhi mmoja wa wananchi wa wilaya ya Makete wakati wa ziara yake ya siku tatu mkoani Njombe tareh… Read More
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akiwahutubia Maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara Uwanja wa CCM Kirumba,jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
********************… Read More
MAHAKAMA kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu Idris Mwakabola kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumnyonga Happiness Mbonde, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa… Read More
Na Said Mwishehe, Kondoa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, ameeleza kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina ya Kujadili Ushiriki wa Kampuni za Bima nchini kwenye miradi ya Nishati iliyofanyika tarehe 15 Julai, 2023 j… Read More
James alikuwa kijana ambaye anaishi mtaani kwetu Buza, tuliweza kujuana na kuonana mara kwa mara, siku moja natoka Stand ya Buza ili niende nyumbani, nikakutana na James na kuniomba namba… Read More
Na Mwandishi wetu
Mahakama ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida imetoa amri ya zuio la muda kwa kwa kikundi cha Vijana Victory Farmers kusafirisha Mbolea ya Samadi iliyokusa… Read More
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameeleza sababu za Serikali kuichagua kampuni ya DP World ya Dubai kuja kuendesha Bandari ya Dar es Salaam, ikiwa ni pamoja na uzoefu wa… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha kuandaa mpango wa pamoja wa mawasiliano wa… Read More
KATIKA kipindi cha miaka mwili ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtandao wa barabara za vijijini na mijini kwa Mkoa wa Ruvuma zimeimarika mara… Read More
Mgombea wa chama tawala Bola Tinubu ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata nchini Nigeria.Mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 70 alipata 36% ya kura, matokeo r… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Mhe.Amina Makilagi,akizungumza wakati akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa niaba ya Mkuu wa M… Read More
Hakuna ubishi kuwa kila binadamu ana ndoto kubwa za kufanikiwa kimaisha, lakini ukweli ni kwamba sio kila mwenye ndoto inaweza kutimia na pengine inaweza kutimia ila kwa kuchelewa sana.Ndivy… Read More
Hadi kufikia umri wangu wa miaka 47, nimekuja kuamini hakuna kitu kibaya kama migogoro ya ardhi, watu wengi wamepoteza mali zao kama mazao na mifugo kisa migogoro ya ardhi.Jina langu ni Huss… Read More
Kamati ya Mawaziri Nane wa Kisekta imewasili rasmi mkoani Kagera kwa ajili ya kuongea na wakazi wa vijiji vinne vya kata ya Rutoro kuhusu uamuzi wa Baraza la Mawaziri juu ya vijiji hivyo amb… Read More
Rais wa Jamhuri ya Burundi, Evariste Ndayishimiye akiwa kwenye mazungumzo na ujumbe wa Benki ya CRDB, ulioongozwa na Mwenyekiti wake, Dkt. Ally Laay na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya CRDB… Read More
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Hamad Hassan Chande (Mb) akiwataka wataalamu wa maboresho makubwa ya Mfumo wa Ununuzi Serikalini, kuhakikisha wanamaliza kazi kwa wakati, alipofany… Read More
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Newala mkoani Mtwara Shamim Daudi Mwariko (kulia) alikabidhiwa hatimiliki za ardhi saba na Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Mtwara Rehema Mwinuka mkoani… Read More
Manchester United inaweza kumsajili Mkristo Eriksen wa Pili JanuariIlikuwa Machi 2020 wakati Jude Bellingham mwenye umri wa miaka 16 alipotolewa kwenye lango la Carrington ili kuzuru u… Read More
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa pongezi kwa mbio za hisani za kimataifa zinazoandaliwa na Benki ya CRDB “CRDB Bank Marathon” kwa kufikisha lengo la kukusanya shilingi b… Read More
Muonekano wa majengo ya shule mpya kijiji cha Mwime.Jengo la matundu 12, ya choo.Muonekano wa majengo ya shule mpya kijiji cha Mwime.Jengo la matundu 12, ya choo.Meneja wa kikundi cha umoja… Read More