Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakiokolewa baada ya mitumbwi miwili kuzama ndani ya Ziwa Victoria wakati wakitoka kusali ibada ya Jumapili Kijiji cha Ichigondo Wilaya… Read More
Mikono ya mtoto aliyochomwa moto na mama yake mzazi
Na Suzy Luhende, Shinyanga
Jeshi la polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Grace Godwin(23) Mkazi wa Mtaa wa Sido Kata ya Ibi… Read More
Mwanaume mmoja kutoka Oregon amesababisha msongamano wa magari kwa kurusha rundo la pesa kwenye barabara kuu yenye shughuli nyingi.
Tukio hilo lilitokea kwenye barabara kuu ya I-5 m… Read More
*********************
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wameipongeza Serikali kwa kuimarisha uhuru wa vyombo vya habari ikiwemo kwa kuvifungu… Read More
Minza Mayenga (47) mkazi wa Mkoa wa Simiyu ambaye ni mama wa watoto tisa aliyekatwa mapanga na mme wake sehemu za kichwa na mkono Novemba 30,2022 akiwa katika hospitali ya wilaya mji wa… Read More
Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 6 amempiga risasi na kumjeruhi mwalimu wake, katika jimbo la Virginia.Mwanafunzi huyo mvulana, amekamatwa na polisi baada ya tukio hilo katika shule ya msingi… Read More
Kijana mwenye umri wa miaka 23 amekamatwa na Polisi baada ya kumrushia mayai Mfalme wa Uingereza, King Charles III aliyekuwa akifanya ziara huko Yorkshire Kaskazini.Kabla ya kijana huyo kute… Read More
Polisi katika eneo la Rangwe, Kaunti ya Homa Bay nchini Kenya wanamsaka mhubiri anayetuhumiwa kumuua mtoto mwenye umri wa miaka 10, baada ya kumnajisi kisha akamnyonga na kutupa mwili wake k… Read More
Kijana Amin Salum Mkazi wa Mtaa wa Nyamarembo Wilaya ya Geita Mkoani Geita Ambaye ni Dereva wa Pikipiki Maarufu Kama Bodaboda amefariki dunia kwa kupigwa risasi na watu wanaozaniwa kuwa maja… Read More
Katika hali isiyo ya kawaida, jana Oktoba 2, 2022 nyuki walivamia ukumbi wakati uchaguzi ukiendelea wa kumpata Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbeya Vijijini.Tukio hilo amb… Read More
Pete ArredondoMKUU wa Polisi, Pete Arredondo aliyetuhumiwa kwa kutochukua hatua stahiki katika tukio la mauaji ya wanafunzi 19 na walimu wawili huko Uvalde, katika Jimbo la Texas, amefukuzwa… Read More
Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi Mtatiro Kitinkwi**Majambazi wawili ambao majina yao hayajafahamika wameuawa na wananchi wilayani Kilwa mkoani Lindi, baada ya kuvamia duka la mfanyabiashara m… Read More
MWANAFUNZI mmoja alifariki na wengine watatu walilazwa hospitalini baada ya choo cha shule ya upili ya Nyabondo kuporomoka. Tukio hilo lilitokea majira ya saa kumi alasiri katika eneo la Nya… Read More
Watu watatu wamefariki dunia baada ya kulipukiwa na kile kinachodaiwa kuwa bomu mkoani Pwani.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Wankyo Nyigesa, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa tukio h… Read More
Na Amiri Kilagalila,NjombeMAHAKAMA ya wilaya ya Njombe imemuhukumu Bright Peter Dismas (25) mkazi wa Kitisi halmashauri ya mji wa Makambako kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana… Read More
Siku chache zilizopita, tukio lisilo la kawaida lilitokea nchini Liberia na kuzua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii.Lilikuwa ni tukio la kijana mdogo, Emmanuel Tuloe ambaye ni dereva wa… Read More
Na Ashura Kazinja, Morogoro.
SERIKALI ya Mkoa ya Morogoro imeunda Tume maalumu ya kuchunguza tukio la ajali ya moto lilitokea katika kituo cha kupokea, kupoza na kusambaza umeme cha Shirika… Read More
Mfano wa motoNa Suleiman Abeid,TimesMajira Online,ShinyangaMTOTO mwenye umri wa miaka 11 (jina limehifadhiwa) mkazi wa Mtaa wa Majengo Kata ya Kambarage Manispaa ya Shinyanga amejeruhiwa mig… Read More