Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uvuvi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bw. Stephen Lukanga akizungumza wakati wa kufungua rasmi warsha ya kufahamu na kupata taarifa sahihi ya rasilimali za uvuv… Read More
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Bw. Emmanuel Tutuba (katikati) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa huduma kwa mlipa kodi (TRA) Bw. Richard Kayombo (kulia) wakiangalia jinsi ya kuskani kinyw… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Shirika la Amref Health Africa Tanzania kupitia Kituo Cha Kudhibiti Magonjwa Nchini Marekani (CDC) kwa ufadhili wa Mpango wa Dharura wa Rais… Read More
Kufuatia ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) aliyofanya Mkoa wa Kigoma akiwa na lengo la kuhamasisha kilimo cha mchikichi ambapo katika ziara… Read More
Na Mussa Enock,DODOMA.
Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imefanikiwa kutengeneza mfumo shirikishi wa kidijitali wenye usalama na gharama nafuu unaomuwezesha mwananchi au taasisi kutengene… Read More
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka watendaji wa sekta ya Misitu na Nyuki kukamilisha mkakati wa kuongeza uzalishaji wa asali toka tani 35000… Read More
Naibu Waziri Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Geofrey Pinda akiongea na Makamishna wa Wasaidizi wa Ardhi Nchini mapema leo Jijini Dodoma.Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba n… Read More
Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Bernard Konga akizungumza na Waandishi wa habari Dodoma.Na Dotto Kwilasa,Malunde I Blog-DODOMAKUTOKANA na maboresho yanayoendelea kufanyika kwenye Mfuko wa Taif… Read More
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA) Mhandisi Modestus Lumato,akizungumza wakati wa kikao kazi cha Watendaji wa Mamlaka za Maji za Mikoa na Miradi ya… Read More
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi akizungumza kwenye ufungaji mafunzo.Washirki wakiwa kwenye maf… Read More
Muuguzi akionesha mojawapo ya njia salama za uzazi wa mpango ambayo ni kitanzi. ****************** Na Irene Mark WAKATI Dunia ikiadhimisha siku ya uzazi wa mpango kila Septemb… Read More
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa 17 inayozalisha pamba hapa nchini, ukiwa katika msimu wake wan ne (4) tangu zao hili litambulishwe rasmi msimu wa 2017-18.Pamoja na kuwa miongoni mwa mik… Read More
Na Clara Matimo, Ukerewe
Ingawa Wilaya ya Ukerewe iliyopo mkoani Mwanza inaundwa na Visiwa 38, kati ya hivyo 15 ni makazi ya watu ya kudumu, 23 ni makazi ya muda ambayo wavuvi… Read More
Makama wa Rais wa Jamhuri muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akifuatilia Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu tathmini ya Hali ya Mazingira ya Bahari ikiwemo Masuala ya Kiuchumi na Kijami… Read More
Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita Mhasham Flavian Kassala akikata utepe wa ufunguzi wa Kanisa jipya la Bikira Maria wa Fatima. Wa pili kulia ni Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi… Read More
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akipiga picha na wacheza ngoma ya Ugoyangi wakiwa na nyoka kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yam… Read More
Na Nyemo Malecela, Kagera
Imetajwa asilimia 90 ya waathirika wa biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu nchini ni wasichana wenye umri kati ya miaka 12 na 19.
Takwimu hiyo imetajwa kweny… Read More
NA.MWANDISHI WETUWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amewaasa vijana kujitokeza ku… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blogUgonjwa wa UVIKO-19 umesababisha madhara makubwa kwa watanzania. Athari za ugonjwa huu ni pamoja na vifo, gharama za matibabu, pamoja na kudorora kwa shughu… Read More
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MSAJILI wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGOs), Vickness Mayao, amezindua rasmi Wiki ya AZAKI inayotarajiwa kuadhimishwa Oktoba 25 hadi 29, mwaka huu jiji… Read More
Na – WAMJW, DodomaWizara ya Afya inatarajia kuja na mfumo wa ufuatiliaji wa taarifa za wajawazito wote toka wanapofika kliniki kwa mara ya kwanza hadi baada ya siku 42 za kujifungua.Ha… Read More