Na Faraja Masinde, Muheza
Jamii imetakiwa kumtazama ndege aina ya bundi kama fursa na kubadili dhana iliyojengeka kuwa ni uchuro anapotua kwenye makazi.
Hayo yamebainishwa juzi wilayani Muh… Read More
Na Mwandishi Wetu-MOROGORO
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imesema itaendeea kuwezesha uwepo wa majukwaa ya wafanyakazi ili kuhakikisha yanatoa… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka maafisa madini kuondoa urasimu wa upatikanaji wa leseni kwa wachimbaji wadogo wanapovumbua maeneo yenye madini.
Ametoa agizo hil… Read More
Mkutano wa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu Mwakitolyo namba 5 wilayani Shinyanga wa kusoma mapato na matumizi.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKIWANDA cha Uchenjuaji dhahabu (NAPOL ELUTION P… Read More
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu ,Kazi ,Vijana,Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe Probas Katambi akizungumza kwenye kikao cha Tughe.Wajumbe wakiwa kwenye kikao.Wajumbe wakiwa kwenye kikao.Kika… Read More
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa mafunzo kwa wafanyabiashara wanaoagiza na kuuza bidhaa mbalimbali za chakula na vipodozi jijini Mwanza ili kuwajengea uwezo kutekeleza shughuli zao… Read More
*Ahimiza wazazi kuacha ukimya na kuzungumza na watoto wao
Na Faraja Masinde, Mtanzania Digital
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amewahimiza Viongozi wa Di… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto walioketi) sambamba na viongozi waandamizi wa benki ya Exim akiwemo Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano kutoka Benki ya E… Read More
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson MsigwaNa Dotto Kwilasa, Dodoma.MSEMAJI Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amewataka Maafisa Uhusiano na Mawasiliano Serikalini,Wizara, Mashirika na Taasisi… Read More
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa Mwanza kwa kushirikiana na shirika la kutetea haki za wanawake na watoto (KIVULINI) limeendesha kongamano la kuhamasisha maadili katika jamii w… Read More
Wazalishaji wa bidhaa zinazotozwa ushuru kwa kutumia Stempu za Kodo za Kielektroniki (Electronic Tax Stamps - ETS) wameiomba Wizara ya Fedha na Mipangopamoja na Mamlaka ya Mapato… Read More
Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Prof. Adolf F. Mkenda amesema Serikali haitotumia amri na matamko kuwafanya wafanyabiashara wa mazao ya kilimo nchini kuongeza ufanisi bali itashirikana nao kuku… Read More
Mkurugenzi wa Uwekezaji katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Lightness Mauki akitoa maelezo kuhusiana na kikao kazi cha uandaaji, uchambuzi wa upembuzi yakinifu wa miradi na uchambuzi wa mikop… Read More
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
Kutokana na athari za mafuriko katika Kata ya Nkuhungu jijini Dodoma, Mkoa huo umejipanga kuchimba na kujenga mitaro miwili mikubwa ambapo mmoja utatiririsha maji… Read More
Hiki ni choo cha muda kwa ajili ya wavulana wa shuleni EndeshMaandalizi ya kujenga vyoo vya kudumu yakiwa yanaendelea shuleni EndeshNa Abby Nkungu, SingidaWATAALAMU wa ujenzi wa majengo kati… Read More
Na. Farida Ramadhani na Ivona Tumsime, WFM, DodomaSerikali imezitaka Taasisi zote za Umma kuhakikisha zinapata kibali cha Waziri wa Fedha na Mipango kabla ya kuanzisha mfumo wowote wa kielek… Read More
Serikaki ya Tanzania imewahakikishia wajumbe 11 wa kamati teule ya Rais wa Burundi, Pierre Nkurunzinza kwamba wanaitambua Kampuni ya Mbogo Kampuni ya Mbogo Mining & General S… Read More
Watendaji wa wizara ya kilimo na taasisi zake wameagizwa kufanya kazi kwa weledi na maarifa ili kuweza kufikia malengo ya uzalishaji mazao nchini. Agizo hili limetolewa leo (17.09.2019)… Read More
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umepokea taarifa kupitia mitandao ya kijamii na wadau mbalimbali zinazohusisha namna Afisa Misitu wa Wilaya ya Korogwe alivyokuwa akitekeleza majuku… Read More
RAIS John Magufuli amewanyoshea kidole Polisi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwa ndio chanzo cha serikali kupoteza kesi nyingi kutokana na kupindisha na kuwasilisha us… Read More