Moja ya klabu za kihistoria kabisa katika soka la Hispania ni RC Celta, timu iliyoko katika mji wa Vigo huko Galicia. Katika msimu wa 2023/24, klabu ya Galician itasherehekea miaka 100 t… Read More
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati alipozindua zoezi la wanachama,wapenzi na mashabiki wa timu ya Simba kuchangia damu katika Zahanati ya Kisosora Jijini Tang… Read More
MABINGWA Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara timu ya Yanga imewatoa kimasomaso watanzania baada ya kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya ku… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya YAnga imefanikiwa kuondoka na ushindi mnono wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya timu ya Rivers United ya nchini Nigeria katika mchezo wa mkondo wa kwanza robo… Read More
NA EMMANUEL MBATILO
KLABU ya Simba imeondolewa kwenye hatua ya nusu fainali na Azam Fc kwa kupokea kichapo cha mabao 2-1 kwenye mchezo huo ambao uliopigwa kwenye dimba la Nangwanda mkoani… Read More
Sub-Heading: Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonye… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameamua kuongeza fedha za motisha kwa timu za Simba na Yanga kutoka shilingi Milioni 5 hadi Shilingi Milioni 10 enda… Read More
Jisajili Meridianbet leo upate mizunguko 50 ya bure kucheza moja ya mchezo uupendao ya kasino ya mtandaoni kuna Aviator, Poker, Titan Roulette na mingine mingi. Kujisajili bonyeza hapa… Read More
Na Alex SonnaSIMBA w wametinga Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la Azam Sport Federation (ASFC) na kuifuata Yanga kibabe baada ya kuichapa mabao 4-0 Timu ya Pamba FC kutoka Mwanza Mchezo ul… Read More
Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Alhamis kutakuwa na mechi 4 za kumalizia mzunguko wa kwanza wa makundi ni kundi G na H, Uswizi vs Cameroon, Uruguay vs Jamhuri ya… Read More
Karim Benzema ameshinda tuzo ya Ballon d'Or kwa mara ya kwanza, baada ya kufurahia mwaka bora wa kikazi akiwa Real Madrid mnamo 2022.Fowadi huyo wa Ufaransa alikuwa katika hali ya kuvu… Read More
Timu Nne Kupambania Nafasi Ya Kucheza Fainali ya Euro 2020.
Hakika Mashindano ya Euro 2020 yamekuwa na matokeo ya kila namna, waliotegemewa wameondoka na wasiotegemewa wamesogea mbele. Ital… Read More
CEO wa Simba Barbara Gonzalez Kushoto akizindua Slogan mpya kwa msimu huu We Are Unstoppable (Kushoto) ni malkia wa Bongo Fleva Zuchu **Mtendaji Mkuu wa Simba Barbara Gonzalez amesema k… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
TIMU ya Pooltable ya Snipers yenye makazi yake Mwenge Mpakani ya Mkoa wa Kimichezo wa Kinondoni wameibuka Mabingwa katika fainali za Kitaifa za Mashindan… Read More
A. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Hassan Abbasi (aliyejishika kidevu)akiangalia mechi ya nusu fainali baina ya timu ya Mtwara na Dodoma ambapo M… Read More
Na Hassan Daudi, Dar es Salaam
Ama hakika unaweza kusema ni zaidi ya burudani kwa mashabiki wa kandanda la Bongo, hasa wanazi wa klabu kongwe hizi za Simba na Yanga.
Ni ‘derby’… Read More
Kikosi cha timu ya Mtwivila city (Ifuenga united) kilichofanikiwa kuingia fainali ya Asas super league Na Fredy Mgunda na Denis Mlowe ,Iringa.TIMU ya soka ya Mtwivila city (Ifuenga… Read More
Sharifa Mmasi, Mtanzania Digital
HATUA ya nusu fainali ya Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (RBA), imepangwa kuendelea leo jioni kwa michezo miwili kuunguruma ambapo, mtanange wa… Read More
Meridianbet, Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!
Wakati mashindano ya Tokyo Olimpiki 2020 yakielekea ukingoni, baadhi ya Ligi Soka barani Ulaya kuanza kutimua vumbi wikiendi hii na zing… Read More
TIMU ya Chelsea imefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester City usiku huu Uwanja wa Do Dragão Jijini Porto, Ureno.Pongezi kwa mfunga… Read More
Msemaji wa Klabu ya Simba, Hajji Manara akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam**UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wao wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa… Read More
MOHAMED KASSARA -DAR ES SALAAM
LICHA ya kurejea kwa Bernard Morrison, Kocha Msadizi wa Yanga, Charles Mkwasa, amsema kuwa kitendo cha hadi sasa kutofahamika kama kiungo wao, Har… Read More
Badi Mchomolo
LIGI Kuu ya England ni miongoni mwa Ligi ambazo zinatazamwa na idadi kubwa ya watu duniani huku ikitajwa kuwa namba moja kwa soko la mpira wa miguu.
Ligi hiyo imekuwa na masha… Read More
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha soka mkoani Shinyanga (SHIREFA) Khamis Mgeja ambaye pia ni mdau mkubwa wa soka nchini amemuomba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya… Read More