Na mwandishi Maswayetu blog;
Baada ya Serikali ya Jamhuri ya MUUNGANO kuhakikisha
kwamba nafasi za kazi zote Tanzania zinatolewa kwa usawa na uwazi kwa vijana
wote wanaopambana kutafuta k… Read More
Na Mwandishi wetu Malunde Blog Shinyanga
Dkt.Agatha Mgogo ambaye ni Mkurugenzi chuo kikuu huria cha Tanzania mkoa wa Shinyanga ameongoza Mahafali ya Tatu ya darasa la saba 2023 katika Sh… Read More
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dar es Salaam kuhusu ufadhili kwa wahitimu wa Kidato cha Sita wapatao… Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe,akikabidhi zawadi kwa washindi wa Kitaifa wa Shindano la Uandishi wa Insha kwa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) n… Read More
Mgeni Rasmi katika mahafali ya 13 shule ya Sekondari Isimila iliyopo Mkoani Iringa Bw. Masozi Nyirenda (wa pili kutoka kulia) akiingia ukumbini na msafara wa wahitimu. Kulia ni Mkuu wa Shul… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Kampuni ya usafirishaji mizigo ya Twalib imetoa msaada wa vyakula katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Alfurqaan kilichoko Chanika jijini Dar es Sa… Read More
Na Norah Damian, Mtanzania Digital
Walimu wa shule mbalimbali za sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamepatiwa mafunzo kuhusu mtaala wa ujenzi wa umahiri (Competence Based… Read More
Mwenyekiti wa COWOCE B, Mosi Rashid (aliyevaa ushungi) na Mwenyekiti wa COWOCE A Magdalena Yohana (aliyevaa nguo ya zambarau) na Mkurugenzi wa COWOCE, Joseph Ndatala (mw… Read More
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Nyankumbu wakijisomea maktaba (library). Shule hii ya wasichana ni ya mfumo wa sayansi na inawanafunzi zaidi ya 1050, imesheheni vifaa vya maabar… Read More
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju,akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Wakuu wa Vyuo vinavyotoa mafunzo ya Malezi… Read More
Mfano wa taulo za kikeNa Kadama Malunde - Malunde 1 blogWatoto wa kike wanaotokea kwenye familia duni mara nyingi hukosa kuhudhuria masomo wanapokuwa katika siku za hedhi kutokana na kukosa… Read More
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akishuka ndani ya Basi aina ya Tata linalofanya kazi ya kubeba wanafunzi Mjini Shinyanga.Na Kadama… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu kwenye mahafali ya 57 ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CB… Read More
Mwenyekiti wa chama cha walimu Manispaa ya Shinyanga Meshack Mashigala akizungumza kwenye mkutano huo.Na Marco Maduhu, SHINYANGACHAMA cha Walimu Manispaa ya Shinyanga (CWT) kimefanya mkutano… Read More
Ofisa Elimu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abdul Maulid, akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa darasa la saba, Fatma Mohamed wakati wa mahafali ya 19 ya shule ya St Anne Marie Academy yaliyofany… Read More
Hali ya huzuni ilitanda katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Shitoto iliyoko Mumias Mashariki, Kaunti ya Kakamega baada ya mwalimu wao mkuu kuzirai na kufariki alipokuwa akielekea shule… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa Taasisi ya Mwanamke Initiative (MIF) uliofanyika katika ukumbi wa h… Read More
Na Samwel Mwanga, Simiyu
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila amesema Serikali inatambua mchango wa Waganga wa Tiba Asilia na Tiba Mbadala katika sekta ya elimu mkoani humo.
Kafulila ameba… Read More
Na Christina Gauluhanga, Mtanzania Digital
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema limejipanga kuhakikisha inaongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwafikia wale w… Read More
Na Ramadhan Hassan,Dodoma
SHULE ya Green Harvest Pre and Primary ya Dodoma imesema imejipanga kutoa elimu yenye ubora wa hali ya juu kwa kuhakikisha wanafunzi wanasoma kwa vitendo ili… Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Msaada wa Kisheria mkoa wa Shinyanga, John Shija akizungumza kwenye kikao cha Wasaidizi wa Kisheria na Wana Vituo vya Taarifa na Maarifa kata ya Lunguy… Read More
Na Clara Matimo, Mwanza
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania(TASAC), limesema udhibiti makini wa sekta ya usafirishaji majini, mazingira baharini na nyaraka zinazoleta mizigo na kupelek… Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Selemani Saidi Jafo ameteua wajumbe saba wa Kamati itakayofanya kazi ya kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu uboreshaji wa… Read More