Sibtain Murji 43(Kishoto) na Zameen Murji 47 (Kulia) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kabla ya kusomewa mashtaka matatu likiwemo la kukwepa kodi kiasi cha Sh. Bilioni sita jijin… Read More
Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa tatu, Mohammed Abdil… Read More
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukiwa na ulinzi mkali.Washtakiwa hao wamefikis… Read More
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili mfanyabiashara, James Rugemalila na wenzake imeendelea kuzua sintofahamu, upelelezi haujakamilika na washtakiwa hawajui hati… Read More
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia (CHADEMA), Tundu Lissu ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu anapokabiliwa na kesi ya uchochezi kwa sababu ya kukw… Read More
Jeshi la polisi nchini limetoa onyo kwa mtu au kikundi cha watu watakaojaribu kuhamasisha mikusanyiko isiyo rasmi au kuandamana kwa namna yoyote.Akizungumza na wanahabari leo Jumatatu Agost… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
JAMHURI imemfikisha mahakamani mfanyabiashara,, Krushna (37) Mkazi wa Makoroboi Mwanza kwa tuhuma za kuiba bidhaa zenye thamani ya Sh milioni 284.8 alivyopewa na K… Read More