Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Riziki Pembe Juma (watatu kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni mbili na nusu (2,500,000/-), K… Read More
RayvannyMSANII maarufu wa Bongo Fleva ambaye pia ni Official Chawa wa Diamond Platnumz, Baba Levo amesema kuwa licha ya kujiondoa ndani ya lebo ya WCB, msanii Rayvanny bado hajailipa l… Read More
Msanii Aggy BabyMsanii wa Bongo Fleva Agness Suleiman maarufu 'Aggy Baby' ameachia wimbo Mpya unaitwa 'On The Bed' wenye mtindo wa Amapiano aliomshirikisha msanii Mr LG.Tayari wimbo huu… Read More
Aggy BabyMalkia kwenye muziki wa Bongo fleva Agness Suleiman maarufu Aggy Baby anakualika kutazama video ya wimbo wake mpya wa Kamnyweso aliomshirikisha msanii Stompion..Tazama video hapa ch… Read More
Na Mwandishi Wetu.MALKIA kwenye muziki wa Bongo fleva Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby ametambulisha rasmi wimbo wake mpya wa Kamnyweso wenye mtindo wa Amapiono aliomshirikisha m… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais wa awamu ya sita Samia Suluhu Hassan anapenda na kuthamini michezo mbalimbali nchini na atahakikisha inaend… Read More
Na Brighiter Masaki, Dar es Salaam
Zaidi ya Wasanii tisa wa Muziki wa Bongo Fleva nchini watapokea tuzo wiki hii kwa kuvunja rekodi ya kuwa na wasikilizaji wengi kupitia Programu tumishi(AP… Read More
Na Christopher Msekena, Dar es Salaam
Wadau wanaofanya vizuri kwenye tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini maarufu ‘Bongo Fleva’, Hope Studio wakishirikiana na Mgonja Entertai… Read More
Mazishi ya Msanii wa Bongo Fleva, Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa yamefanyika jioni ya leo kwenye makaburi ya Mwinyi Mkuu Magomeni, Dar es salaam. Cpwaa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Ja… Read More
Na Marco Maduhu -Shinyanga.Shirika la Thubutu Africa Initiatives la mkoani Shinyanga, linalotekeleza miradi wa USAID Tulonge afya katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, limefanya Sherehe… Read More
Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) limemtaka msanii wa Bongo Fleva Tumaini Godfrey maarufu Dudubaya kufika katika ofisi za baraza hilo kesho Januari 7, kwa mahojiano zaidi baada ya kusambaa kipa… Read More
Unaikumbuka ile Filamu ya Laana ya Mke iliyoigizwa na wasanii kutoka mkoa wa Shinyanga ambayo hivi karibuni ilifanikiwa kushinda Tuzo ya Heshima Filamu Bora yenye maudhui ya kitaifa Kanda ya… Read More
Godfrey Tumaini anayefahamika kama Dudu Baya (Konki Masta) jina la kisanii ni miungoni mwa wasanii maarufu na wakongwe zaidi katika muziki wa kizazi kipya (Bongo fleva),pia ni msanii miungon… Read More