Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ametumia miaka saba iliyopita na Los Blancos, lakini sasa anakabiliwa na mustakabali usio na uhakika Santiago Bernabeu kwani amebakiza chini ya mi… Read More
Ukame wa mabao wa Son Heung-min msimu huu umeongezeka hadi mechi nane kwa Tottenham, na hivyo kuzidisha wasiwasi mjini Seoul kuhusu ubora wa nyota huyo wa Korea Kusini miezi michache t… Read More
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limemtambulisha Mdenmark Kim Polusen kuwa kocha mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars).Kocha huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu kuifundisha timu hiyo, amba… Read More
Baada ya kocha mpya, Mhispania, Pablo Franco kutambulishwa Jumamosi usiku, aliyekuwa kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Mnyarwanda, Thiery Hitimana amefichua kuwa atakaa chini na kocha huyo na k… Read More
Na Mwandishi Wetu, Songea
Kocha Mkuu wa Yanga, Nesreddine Nabi amesema anaumia kuona baadhi ya wachezaji wa kigeni wanakaa benchi kutokana na kuruhusiwa kuchezesha nane pekee katika kila mec… Read More
Arsenal imemteua kiungo wake wa zamani Mikel Arteta kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.Kocha huyo mwenye miaka 37 ameshinda kombe la FA mara mbili akiwa na kikosi cha Gunners katika misimu mitano… Read More
MADRID, Hispania
MKUU wa benchi la ufundi la Real Madrid, Carlo Ancelotti, amesisitiza kuwa kikosi chake kina nafasi ya kutwaa taji la msimu huu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Madrid walikarib… Read More
Frank Lampard ameshinda michezo 28 kati ya 57 aliyoiongoza Chelsea katika Ligi ya Primia.Chelsea imemfuta kazi kocha wake Frank Lampard baada ya kuingoza klabu hiyo kwa miezi 18.Lampard (42)… Read More
TUTAKUWA tunadanganyana tu kuulizana kilichoiponza Yanga katika mchezo wa juzi. Ilikuwa sahihi kabisa kupoteza mchezo ule dhidi ya River United FC iliyotua nchini ikitokea jijini Lagos, Nige… Read More
Hassan Daudi na Mitandao
Neuer, Muller wamlilia kochaMASTAA wa Bayern Munich, Manuel Neuer na Thomas Muller, wamekerwa na namna klabu hiyo ilivyoshindwa kumaliza bifu kati ya kocha wao, Han… Read More
Na Hassan Daudi, Dar es Salaam
Ama hakika unaweza kusema ni zaidi ya burudani kwa mashabiki wa kandanda la Bongo, hasa wanazi wa klabu kongwe hizi za Simba na Yanga.
Ni ‘derby’… Read More
Beki wa Mamelodi Sundowns Motjeka Madisha (kushoto) akikabana na Lionel Messi.Beki wa Mamelodi Sundowns Motjeka MadishaBeki wa Mamelodi Sundowns Motjeka Madisha, amefariki dunia akiwa na mia… Read More
MOHAMED KASSARA -DAR ES SALAAM
LICHA ya kurejea kwa Bernard Morrison, Kocha Msadizi wa Yanga, Charles Mkwasa, amsema kuwa kitendo cha hadi sasa kutofahamika kama kiungo wao, Har… Read More
ristiano Ronaldo
TURIN, Italia
WAKALA wa Cristiano Ronaldo, Jorge Mendes ameweka wazi msimamo wa mteja wake kuwa hana mpango wa kuondoka ndani ya kikosi cha Juventus baada ya msimu huu kumal… Read More