Picha ya pamoja kati ya waandishi wa habari na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Yasushi Misawa pamoja na wafanyakazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA).
Balozi wa Ja… Read More
Na Mwandishi wetu,Pwani.
*Asisitiza Watanzania wanataka umeme*
*Atoa Pongezi kwa wafanyakazi kwenye mradi huo
*TANESCO wapongezwa kwa hatua ya ujenzi*
Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kupoza U… Read More
Serikali ipo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa bandari ya Lagosa iliyopo katika Kijiji cha Mgambo wilayani Uvinza mkoani Kigoma.
Akizungumza mara baada ya kukagua maendeleo ya… Read More
Na Sumai Salumu & Kadama Malunde - Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Johari Samizi amewataka waandishi wa Habari kuandika habari sahihi na kutoa elimu… Read More
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) inaendelea na ujenzi wa barabara ya Iyegeya- Lulanda yenye urefu wa Km 10.4 kwa kiwango cha lami kwa kutumia Teknolojia mbadala ya ECO… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na ufanisi wa kiutendaji katika Bandari ya Mtwara hasa baada ya maboresho makubwa yanayoendelea kufanyik… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Ranchi ya Mbogo Bw. Naweed Mullah (kulia) akimuongoza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Dkt. Daniel Mushi (kushoto) na timu ya washiriki w… Read More
Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Agosti 30,2023 wametembelea Bandari zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa ajili ya kujionea na kujifunza… Read More
Siah Malle akitoa tathmini ya miradi ya kiuhandisi iliyobuniwa na wahandisi vijana wa kike katika na Maonesho na Kongamano la 8 la Wanawake Wahandisi Tanzania (TAWECE) yaliyofanyika Zanzib… Read More
Kukamilika kwa Mfumo wa Makasha yanayotumia Umeme kwa ajili ya kuhifadhi bidhaa ambazo zinaweza kuharibika kutokana na Joto kutawezesha wakulima mbalimbali wanaotaka kusafirisha bidhaa… Read More
*****************
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia Ndege Mpya ya Kisasa ya Mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa na Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania… Read More
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdalla Ulega Akizungumza na Waandishi wa habari Jijini Dodoma kuhusu Mkutano wa AGRF 2023.
Na Dotto Kwilasa, Dodoma
Zaidi ya washiriki 3000 wanaojihusish… Read More
* Kenya bei ya mafuta yazidi kupaa, wenye magari wavuka mpaka hadi Tanzania kuweka mafuta
* Maagizo ya Rais Samia ya usimamizi wa uingizaji mafuta nchini na ruzuku yaleta ahueni kwa Watanza… Read More
Waziri Wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Juni Jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu ujio wa ndege mpya ya mizigo… Read More
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa (wa pili kushoto) akiwa katika pikipiki zilizokabidhiwa na Benki ya CRDB kwa Kituo cha Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini Arusha kwa… Read More
Meneja wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) Mhandisi Asajile John akizungumza na wananchi wa Jiji la Mbeya kuhusiana Utumaji wa Vifurushi na Vipeto ikiwa ni Kampeni ya T… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Na Clara Matimo, Buchosa
BAADHI ya wakulima wa kata za Nyakalilo, Kazunzu na Iligamba katika halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza wamelalamikia mfumo wa ununuzi mbolea ya… Read More
Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba (nne kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uganda nchini Tanzania, Col Mwesigye Fred (wa tatu kulia), Katibu Mkuu Wizaya ya Nishati, A… Read More
Ukweli ni kwamba kwa miaka mingi nimekuwa nikisikia watu mbalimbali wakisema baadhi ya biashara zimekuwa na faida zaidi na nyingine faida yake ni ndogo sana, hivyo kuzifanya ni kama kupoteza… Read More
Waziri wa Nishati Mh. January Makamba akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kujadili amna ya kuongeza ulinzi na usalama wa bomba la mafuta la Tanzania-Zambia Crude Oil Pipe… Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Runzewe wakati akihitimisha ziara yake Mkoani Geita tarehe 16 Oktoba, 2022.Rais wa Jamhuri ya Muun… Read More
Afisa Usalama wa Chakula (TBS), Bw.Edward Mwamilawa akimsaidia mteja kuingia kwenye mfumo kwa ajili ya kupata huduma ya kitaalum ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi. Kaimu Meneja wa Kanda ya K… Read More
Wananchi Wilayani Momba, Songwe wanefarijika baada ya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kukamilisha maandalizi ya ujenzi wa daraja la muda katika mto Nkana Kata ya Chilulumo… Read More
Na Doreen Aloyce, DodomaJeshi la Uhamiaji Mkoa wa Dodoma linawashikilia raia watano wa Ethiopia akiwemo Mtanzania mmoja kutokana na kuingia nchini kinyume cha sheria na utaratibu wa nchi&nbs… Read More
Na Editha Karlo, Kigoma
Serikali imeanza utekelezaji wa mradi mkubwa wa kufua umeme katika mto Malagarasi mkoani Kigoma kwa Kutangaza zabuni yenye gharama ya zaidi ya Sh bilioni 400 ambao un… Read More
BAMAKO, Mali
IDADI ya watu wanaokabiliwa na janga la njaa nchini Mali imeongezeka mara tatu, ukilinganishwa na ilivyokuwa mwaka 2012, kwa mujibu wa ripoti ya taasisi 22 zinazojishughulisha… Read More