*Waiomba Serikali iharakishe kurejeshwa kwake, Waonesha nia kushirikiana na Sekta Binafsi
*Naibu Katibu Mkuu Mbibo awakaribisha kushiriki Jukwaa la Madini Litakalofanyika Oktoba,2023… Read More
Kama ilivyo kauli mbiu “CHAGUA TUKUPE” sasa watu wamechagua na wamepewa kwani Mkazi mmoja kutoka jijini Dar-es-salaam ameweza kujishisdia kiasi cha milioni 14 baada ya kubashir… Read More
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa waheshimiwa mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kushirikiana na makamp… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mohamed Mchengerwa na Katibu Mkuu Dkt. Hassan Abbasi wameungana na wadau wa sekta ya utalii jijini Arusha leo usiku huu April 14, 2023… Read More
Idadi ya vifo kutoka nchi zote mbili ilitarajiwa kuongezeka kwani mamia ya majengo yaliyoporomoka katika miji mingi yamekuwa makaburi ya watu waliokuwa wamelala wakati tetemeko hilo lilipoto… Read More
Jina langu ni Majaliwa kutokea Mombasa nchini Kenya, ni Baba wa familia, mimi na mke wangu katika miaka sita ya ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto wawili, mmoja wa kiume na mwingine wa kike… Read More
Hakuna ubishi kuwa kila binadamu ana ndoto kubwa za kufanikiwa kimaisha, lakini ukweli ni kwamba sio kila mwenye ndoto inaweza kutimia na pengine inaweza kutimia ila kwa kuchelewa sana.Ndivy… Read More
Tarehe 4 Mei 2021, itakuwa katika mioyo ya wanandoa wa Mali ambao ulimwengu wao ulibadilika baada ya kujifungua watoto wao tisa mara moja.Watoto wa Halima Cissé na Kader Arby ni wasic… Read More
Priscilla Sitienei amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100.MWANAFUNZI mkubwa zaidi wa elimu ya msingi nchini Kenya, Priscilla Sitienei amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 100.Sitienei… Read More
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto akishuka kutoka katika ndege alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kuanza ziara ya kik… Read More
Msimamizi wa huduma za matibabu ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwenye kambi ya wakimbizi Nduta wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma inayotolea na Shirika la Medical Team International Dk.Martin… Read More
Familia moja katika kaunti ya Makueni nchini Kenya imelazimika kuahirisha hafla ya mazishi ya jamaa wao baada ya madai ya kutoweka kwa maiti.Kulingana na familia ya Waema Nguku, 95, mw… Read More
*Yasema Kilichallenge imeleta mafanikio mazuri
*Yakusanya Sh bilioni moja
Na Nadhifa Omary, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewapongeza wapanda Mlima Kilimanjaro… Read More
Kada wa CCM Bwanku M Bwanku amechukua fomu kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Vijana CCM mkoa wa Mtwara.Kabla ya kuchukua Uamuzi wa Kugombea Uenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapi… Read More
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu amesema mwishoni mwa mwezi Julai, 2020 atarejea nchini kwa ajili ya kuendelea na shughuli za kisiasa. Amesema, atafanya hivyo ili aweze ku… Read More
Na Felix Mwagara, Kibondo (MOHA).Baadhi ya Wakimbizi kutoka nchini Burundi wanaoishi katika Kambi ya Nduta, Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wamesema wanawekewa vikwazo na kucheleweshwa na ba… Read More
CHANZO CHA PICHA,EPAKupitia angani , nchi kavu, na baharini, Urusi imeanzisha shambulio baya dhidi ya Ukraine, nchi yenye demokrasia barani Ulaya ya watu milioni 44.Kwa miezi kadhaa Ra… Read More
KIUNGO, Udoh Utop jana Jumapili aliondoka rasmi nchini ambapo alikuja kwa ajili ya majaribio ndani ya Simba na kurejea kwao nchini Nigeria.Udoh alikuja nchini sambamba na winga mwenye uraia… Read More
Wakaazi wa Kongelai huko Pokot Magharibi nchini Kenya walikula kona kwa hofu na mshtuko wakati mwanaume waliyemdhania kuwa ameaga dunia kuibuka wakati wakiendelea na shughuli za mazishi yake… Read More
Baadhi ya watalii kutoka Israel wakipita kuangalia kikundi cha utamaduni kutoka kabila la Wamasai katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kabla ya kuondoka kurejea Israel Ba… Read More
Kinshasa, Kongo
Shirika la Medecins Sans Frontieres (MSF) limetoa ripoti ya tishio la ugonjwa wa mlipuko wa kuhara kufuatiwa ukosefu wa maji safi na salama katika mji wa Goma uliopata maafa… Read More