Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa 12 na wengine limewafikisha mahakamani kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo kukamatwa noti bandia 15 ze… Read More
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Benki ya NMB imeendesha Warsha ya Siku ya Walimu Katika Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga kwa ajili ya kutambua mahusiano mazuri yaliyopo kati ya… Read More
Makamu Mkuu wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), Fedha Utawala na Mipango wa chuo hicho, Dkt. Lucas Mwisila akizungumza ameyasema hayo Septemba 8, 2023 katika hafla fupi ya uzinduzi wa J… Read More
Muuguzi katika hospitali ya Nyerere DDH, Nyanchamba Mulaga Musiba akichukua sampuli ya damu kavu kutoka kwa mtoto ambaye mama yake anaishi na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI
Na Kadama Ma… Read More
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Tanga (RTO) Wiliam Mwamasika akizungumza wakati kuelezea mpango kazi wa Usalama barabara kwa Jiji la Tanga unaendeshwa na Shirika la Amend… Read More
Breaking News!! Hatimaye Meridianbet imekuja na promosheni kabambe ya mwaka mzima kwa kumwaga bonasi ya kucheza bure sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni.
… Read More
Familia yetu yenye jumla ya watu sita pamoja na dada wa kazi tumeishi kwa furaha katika kipindi chote tukitegema kulishwa na mume wangu katika kazi zake za utafutaji huko Shirika la Reli… Read More
Na Mwandishi wetu
Mahakama ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida imetoa amri ya zuio la muda kwa kwa kikundi cha Vijana Victory Farmers kusafirisha Mbolea ya Samadi iliyokusa… Read More
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akifuatilia kwa makini taarifa inayotolewa na Kamishna Msaidizi wa Magereza ACP Nkonge Edwin alipofika gerezani hapo na timu ya wataalam… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
WALIOKUWA wafanyakazi wa kampuni ya Tancoard ambayo kwa sasa inaitwa Sisalana Cordage Factory wameiomba Serikali kuingilia kati suala la notisi ya kuhama… Read More
Watu wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwenda jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na vipande tisa vya pembe za ndovu, kinyume cha sheria ya wanyama pori ya mwaka 2005 il… Read More
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba Tanzania (TCB), James Shimbe ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma za Usimamizi TCB akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Afisa Kilimo Mwandamiz… Read More
Ukweli ni kwamba sio kila aliye jela ametenda kosa, wapo wengi wamefungwa vifungo virefu jela kwa mambo ya kusingiziwa na kufungwa kutokana pengine waliofanya hivyo walitoa rushwa ambayo ni… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema, anauona ‘mkono’ wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuelekea uhuru wa habari nchini… Read More
Viongozi wa CCM wakiangalia majengo ya Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Shinyanga iliyopo Butengwa kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga Na Kadama Malunde - Malund… Read More
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga, Athumani Matuma Kilati akizungumza wakati wa Kilele cha madhimisho ya Wiki ya Sheria katika Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano… Read More
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Laki Moja, Bi. Anascholastica Ndagiwe akizungumza na Waandishi wa Habari leo Januari 16,2023. Kushoto ni Mkurugenzi wa Shirika la Fikra Mpya Bi. Leah Daudi… Read More
Mwenyekiti wa bodi ya Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) Gemma Akilimali leo Jijini Dar es Salaam akizungumza na wananchi wakati wa Maadhimisho ya siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia ambay… Read More
Watetezi wa haki za Binadamu na wadau wa maendeleo ya jamii Mkoani Shinyanga likiwemo shirika lisilo lakiserikali linalojihusisha na utoaji wa misaada ya kibinadamu na utunzaji wa mazingira… Read More
Afisa Mradi wa Elimu ya Haki za Binadamu kutoka Shirika la Tusonge CDO, Consolata Kinabo.Na Kadama Malunde - Malunde 1 blogJamii imetakiwa kuacha tabia za kumaliza kesi za masuala ya ukatili… Read More
Mwanaume mwenye umri wa miaka 24 aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katikati mwa Uganda katika mlipuko mpya uliothibitishwa na maafisa wa afya.Waziri wa afya amewaambia waandishi wa habari… Read More
Na Zephania Kapaya, Shinyanga
JESHI la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga limelalamikiwa na Mfanyabiashara anayefahamika kwa jina la Rehema Mwagao kwa kitendo cha kumuachia muharifu ki… Read More
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, leo inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya jinai namba 105 ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai… Read More