Mwanamke mmoja raia wa Congo ambaye ameolewa na waume wawili, amewaduwaza wengi ikizingatiwa kwamba ndoa ya waume wengi ni nadra barani Afrika.
Francine Jisele anaishi na waume wawili, mum… Read More
Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora Ndugu Elias M. Kayandabila amemtaka Mkuu wa Kitengo cha Taka Ngumu Ndugu Adamu Baleche kuhakikisha kuwa ndani ya siku tatu awe ameondosha taka zote zili… Read More
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Dar es Salaam, Badru Idd (wa pili kulia), akimkabidhi Robert Masala kadi ya gari aina ya Toyota Crown baada ya kushinda katika kampeni ya Benki ni SimBankin… Read More
Naitwa Blessing, mzawa wa Kondoa, nina umri wa miaka 26, nimehitimu masomo ya Secondary mwaka 2015 ila sikuweza kupata nafasi ya kujiunga na masomo ya high school kutokana na hali ngumu ya… Read More
Jina langu ni Frida mkazi wa Tabata, Dar es Salaam, nafanya kazi ya Uhasibu, nimefanya kazi hii kwa miaka 15, tangu niajiriwe katika kampuni yetu ambayo kila siku hupokea wateja… Read More
Mahusiano yetu ya muda mrefu yaliniaminisha kuwa Isack ni baba bora wa maishani ni mwanaume ambaye hakuna mtu angeopena ampoteze katika maisha yake kwa namna yoyote ile lakini hili ndilo lil… Read More
Mwaka 2020 ulinikuta nikiwa nimejiandaa kugombea udiwani katika kata yangu. Niliishi vizuri na watu na nilishiriki kwenye shughuli nyingi za kijamii hivyo nilishajua kuwa nisingekataliwa ka… Read More
*Vijana washindwa kujiajiri katika sekta ya kilimo
*Wananchi wabaki njia panda, Serikali yaeleza
Na Ashura Kazinja, Morogoro
UPATIKANAJI wa ajira nchini umeendelea kuwa mgumu mwaka hadi mwak… Read More
*Kwakwamisha vijana kujiajiri sekta ya kilimo
Na Ashura Kazinja, Morogoro
UPATIKANAJI wa ajira nchini umeendelea kuwa mgumu mwaka hadi mwaka huku kukiwa na vijana wengi wanaohangaika mtaani… Read More
Kufuatia ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) aliyofanya Mkoa wa Kigoma akiwa na lengo la kuhamasisha kilimo cha mchikichi ambapo katika ziara… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu Kasim Majaliwa wakati wa ibada ya Harambee ya ujenzi wa shule ya Kanisa la Kiinjili la… Read More
Diwani wa kata ya Imesela Seth Msangwa akizungumza katika maadhimisho ya ziara ya kamati ya siasa ya chama cha Mapinduzi (CCM) Imesela Wilaya ya Shinyanga.Kamati ya siasa na uongozi wa shule… Read More
Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital
MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini pekee. Dhana hiyo imesa… Read More
Wabunge wawili wa upinzani nchini Senegal, wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela na kulipa faini ya franc 100,000 za CFA (euro 150) kila mmoja sambamba na fidia ya faranga za CFA milioni… Read More
Minza Mayenga (47) mkazi wa Mkoa wa Simiyu ambaye ni mama wa watoto tisa aliyekatwa mapanga na mme wake sehemu za kichwa na mkono Novemba 30,2022 akiwa katika hospitali ya wilaya mji wa… Read More
Na Faraja Masinde, Mtanzania
Ripoti ya matokeo ya utafiti unaoitwa ‘Ndoa za utotoni Tanzania’ iliyotolewa Mchi 2, 2017 inasema wasichana wanaoingia katika ndoa mapema p… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula akizungumza katika Jubilee ya miaka 25 ya Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Kibiti na sherehe za… Read More
Wawekezaji na wananchi wa kata ya Themi, Halmashauri ya Jiji la Arusha wamemsifu na wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwajengea kwa kiwango cha lami barabara za Themi -V… Read More
Kutoka kijiji cha mbali cha Chemomul, kaunti ya Bomet, kutana na Linet chepkorir ‘Toto’, mwenye umri wa miaka 24 ambaye amepata kura 242,775 na kuwapiku wagombea wengine nane ali… Read More
Wananchi wa vijiji vya Kagunga na Zashe wilaya ya Kigoma mkoani wakisikiliza maelezo kuhusu utoaji wa taarifa kwenye vituo vya taarifa na maarifa kusaidia kutoa taarifa za vutendo vya… Read More
Na Renatha Kipaka, Muleba
Wazazi na walezi wilayani Muleba mkoani Kagera wameshauriwa kuwaambia ukweli watoto wao ili wajue jinsi hali halisi ya mabadiliko pamoja na utandawazi katika jamii… Read More
Wananiita Priscilla Kishama na bwanaangu ni mfanyabiashara mashuhuri ambaye ana magari za abiria nyingi mno na kwa siku yeye hutengeza hela nyingi anazoziweka kwa hazina ya benki. Kwa k… Read More
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA) limepiga kura kwa wingi ya kuunga mkono azimio la kuitaka Urusi kusimamisha mara moja mashambulizi nchini Ukraine na kuyaondoa majeshi yake yote nchini… Read More
Zoezi la uzoaji wa taka ngumu likiendelea katika ghuba la Soko Kuu Mjini Shinyanga leo Novemba 2,2021Nyaraka ya Jedwali la ada za uzoaji wa taka ngumu kwa mujibu wa sheria ndogo za Mani… Read More
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Husein Ali Mwinyi amesema kuwa hatosita kumchukulia hatua mtendaji yoyote aliyemteua ambaye atabainika… Read More
Wananiita Priscilla Kishama na bwanaangu ni mfanyabiashara mashuhuri ambaye ana magari za abiria nyingi mno na kwa siku yeye hutengeza hela nyingi anazoziweka kwa hazina ya benki. Kwa k… Read More
Michezo ya kubashiri ina kua kwa kasi sana nchini Tanzania ni kutokana na hali ya mabadiliko ya ukuaji wa kiuchumi unao pambishwa na sera nzuri za uwekezaji za sasa kuwa rafiki kwa wek… Read More