MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Sh Milioni tatu katika harambee ya ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Ikungi huku akilipongeza Kanisa kwa kuendelea kuiombea aman… Read More
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Eng. Anthony Sanga katika Picha ya pamoja na Baba Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Maimbo Mdolwa mara baada ya mazungumzo ya… Read More
Waumini wa Kanisa la Kianglikana la All Saints Kyamwee kaunti ya Machakos nchini Kenya wamefanyiwa harusi maalum iliyojumuisha wanandoa saba.
Kulingana na NTV, wanandoa hao walisema waliku… Read More
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (wa kwanza kushoto) akikagua uwanja wa kwaraa yatakapofanyika maadhimisho ya k… Read More
Na Shemasi George Rugambwa- Seminari ya Ntungamo, Bukoba
Leo TEC imetoa tamko lake kuhusu mkataba wa kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai. Tamko lake limeelezewa kwa… Read More
Msimamizi wa kituo cha Afya cha Bikra Maria Mama wa Tumaini (BMMT) na Mkurugenzi Mtendaji wa asasi ya ATFGM, Sister Jacqueline Gbanga akielezea namna wanavyoshirikiana na PEPFAR kuk… Read More
Mhubiri maarufu nchini Kenya Victor Kanyari sasa anasema amepata dawa ya kukabiliana na umaskini.
Mchungaji huyo wa kanisa la Salvation Healing Ministry alinaswa kwenye video akizungumzia… Read More
Watu 13 wanahofiwa kufariki dunia huku wengine 14 wakiokolewa baada ya mitumbwi miwili kuzama ndani ya Ziwa Victoria wakati wakitoka kusali ibada ya Jumapili Kijiji cha Ichigondo Wilaya… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (wa tatu kushoto) akifuatilia maelezo ya Mkuu wa wilaya ya Biharamulo Advera Bulimba wakati alipokwenda kutatua mgogoro wa… Read More
Askofu Wilbard Ringia wa Kanisa la Mizaituni miwili,Pentecoste Assemblies(MMPA)akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 16,2023 Jijini Dodoma.
Na Dotto Kwilasa,Dodoma
Kutokana na kuwe… Read More
Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), imetoa elimu ya kilimo cha zao la Mkonge, masoko na fursa zitokanazo na zao hilo kwa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), katika Semina ya kuhitim… Read More
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi amelitaka Jeshi la Jadi Sungusungu kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi badala… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,wakati akiuliza swali la nyongeza bungeni jijini Dodoma katika swali la msingi alilouliza kwa niaba ya Mbunge wa Kondoa Mjini Ally Makoa aliyeta… Read More
Naitwa Juma kutoka kijiji cha Nyakimincha, Kisii nchini Kenya, nimekuwa na changamoto nyingi sana katika maisha yangu, ila kuna changamoto moja ndiyo hasa imekuwa ikininyima usingizi kil… Read More
Karibu katika mafunzo ya biblia. Kwanini tunasema kuwa hili ni kanisa la Mwisho la Laodikia?, Je ni viashiria gani vinavyotutambulisha kuwa hali ya kanisa la Laodikia lile la saba ambalo Mtu… Read More
Wadau wa Usafiri wa Anga wakiwa katika uwanja wa Ndege wa Ibadakuli Mkoani Shinyanga leo Jumanne Mei 30,2023 wakati wa Mkutano wa wadau wa usafiri wa anga ulioenda sanjari na uzinduzi wa u… Read More
Ninazijua shida nilizopitia kwenye yumba za kupanga, raha yake ni kuwa unatembea na nyumba yako mfukoni yaani unahama wakati wowote ule unapoitwa wewe mpangaji, ila mambo mengi sana kwenye… Read More
Na Seif Takaza, Singida
MKUU wa Wilaya ya Iramba mkoani wa Singida, Suleiman Mwenda ampempongeza Mchungaji wa Kanisa la EAGT la mjini Kiomboi Askofu Dk. Robert Kijanga kwa kuliheshimisha kan… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu Kasim Majaliwa wakati wa ibada ya Harambee ya ujenzi wa shule ya Kanisa la Kiinjili la… Read More
Mchungaji wa Kanisa la Waadventista Wasabato Shinyanga Mjini Lazaro Mbogo akibatiza watu 17 ambao wamemkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwakozi wao, kwa ubatizo wa maji mengi, Ubatizo umefanyi… Read More
Wasabato wakiwa katika Changizo la ununuzi wa Basi la Shule ya Awali na Msingi SAPPS.Na Marco Maduhu, SHINYANGAKANISA la Waadventista Wasabato Shinyanga, wameendesha zoezi la changizo kwa aj… Read More
Askofu wa KKKT, Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dk Alex Malasusa leo Jumapili ametangaza msamaha kwa Mchungaji wa Ushirika wa Kijitonyama, Dk Eliona Kimaro ambaye alipewa likizo ya siku 60.U… Read More
Mafundi wa TANESCO wakiendelea na kazi ya kutengeneza miundombinu ya umeme katika eneo la Iwelyangula kata ya Chamaguha Manispaa ya Shinyanga Na Halima Khoya - ShinyangaBaadhi ya… Read More
Minza Mayenga (47) mkazi wa Mkoa wa Simiyu ambaye ni mama wa watoto tisa aliyekatwa mapanga na mme wake sehemu za kichwa na mkono Novemba 30,2022 akiwa katika hospitali ya wilaya mji wa… Read More
Na Woinde Shizza ARUSHA Nabii Mkuu wa kanisa la Ngurumo ya Upako ambaye pia ni balozi wa Amani Afrika Dkt. Geordavie Kasambale ameahidi kuwaunga mkono wafanyabiashara wadogo… Read More