Na. Abel Paul wa Jeshi la PolisiJeshi la Polisi mkoani Arusha limesema kuwa limefanikiwa kuwakamata wanafunzi wawili wa chuo cha Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru kwa tuhuma za unyanyasa… Read More
Akina mama wa kijiji cha Nyamswa wilayani Bariadi mkoani Simiyu wakishiriki mila ya Pumbulu kutoka kijiji cha Nyamswa kwenda Kijiji jirani cha Mwasubuya hivi karibuni.Na COSTANTINE MATHIAS… Read More
Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine MasejoNa Abel Paul Jeshi la Polisi Mkoa wa ArushaJeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia vijana watatu wenye umri kati ya miaka 20 had… Read More
Na. Edward KondelaJeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na vyombo vingine vya ulinzi na usalama limewakamata watuhumiwa wawili wa utoroshaji wa m… Read More
Upande wa Jamhuri umewasilisha pingamizi la awali mahakamani kupinga maombi yaliyowasilishwa na wadhamini Ibrahim Ahmed na Robart Katula wa mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu… Read More
Kesi inayomkabili aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na wenzake imeshindwa kuendelea baada ya Upande wa Mashtaka kushindwa kuwasilisha jalada la kesi hiyoMahakama hiyo jana i… Read More
NA SALVATORY NTANDUJeshi la polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga linawashikilia wanafunzi nane wa shule ya sekondari seeke kwa tuhuma ya kumshambulia na kumjeruhi Costantine Makoye… Read More
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, ametoa siku saba kwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kagera (RCO), Obassy Nguvillan, kupeleleza upya kesi ya mama aliyechomewa ny… Read More
DODOMA: Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste la Ipagala Manispaa ya Dodoma, Joshua Warioba, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kumbaka na kumlawiti mtoto mwenye umri wa… Read More