Na MWANDISHI WETU MALUNDE 1 BLOG
Mkazi wa Mtaa wa Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga Mseveni Mchele Derefa amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, viboko 10 na faini ya Shi… Read More
Mahakama nchini Uganda imemuamuru msimamizi wa WhatsApp wa kundi moja kumrejesha mwanachama aliyemshtaki kwa kumfukuza kwenye kundi hilo.
Mwanaume mwenye hasira kutoka Uganda aliyetambulik… Read More
Na Mwandishi wetu
Mahakama ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida imetoa amri ya zuio la muda kwa kwa kikundi cha Vijana Victory Farmers kusafirisha Mbolea ya Samadi iliyokusa… Read More
Mchungaji mmoja kutoka katika Kaunti ya Embu nchini Kenya amefikishwa mahakamani Jumatatu Juni 5,2023 kwa tuhuma za kumbaka muumini wa kanisa lake.
Pasta Benson Mwaniki Njuki wa Kanisa la… Read More
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato
Msanii wa nyimbo za asili ya Kisukuma, Dawa Juma,mkazi wa kijiji cha Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita,amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au… Read More
Bwana Mwifyusi , Moses Chicago pamoja na Robert mtoto wa Mwakipesile ndiyo madalali wakubwa walioshikilia tenda zote hapa mtaani kwetu kuanzia uuzaji wa viwanja mpaka ununuzi wa magari ya k… Read More
Watu wanne wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 kwenda jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kukutwa na vipande tisa vya pembe za ndovu, kinyume cha sheria ya wanyama pori ya mwaka 2005 il… Read More
Sibtain Murji 43(Kishoto) na Zameen Murji 47 (Kulia) wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kabla ya kusomewa mashtaka matatu likiwemo la kukwepa kodi kiasi cha Sh. Bilioni sita jijin… Read More
Na John Walter-BabatiWatu wawili wakazi wa Kijiji Endagile kata ya Mamire wilaya ya Babati mkoani Manyara, John Lulu na Zebedayo Safari, wamehukumiwa kifungo Cha miaka 20 jela kwa kosa la ku… Read More
Jacob Okafyulilo, mwenye umri wa miaka 38, Mbena na Mkazi wa Kijiji cha Itambo wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na kuamriwa kulipa fidia ya shilingi… Read More
Wa kwanza kulia ni Zawadi Msagaja (20), ambaye ni mama wa mtoto na anayefuatia ni dada wa Zawadi**Watu watatu akiwemo mkazi wa Kijiji cha Mahaha wilayani Magu mkoani Mwanza, Zawadi Msagaja (… Read More
Na Walter Mguluchuma,Katavi.Mwendesha Boda boda Idrisa Said Bayaga(32) wa Kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amefikishwa mahakamani… Read More
Na Tausi Ally, Mtanzania Digital
MTU na Dada yake wamehukumiwa kwenda jela miaka minne kwa kumtukana na kumpiga mama yao Maria Vazi.
Washtakiwa hao, Zulfikar Safraz na Nurin Safraz wametiwa… Read More
Jengo la Mahakama ya wilaya ya Lindi**Mahakama ya wilaya ya Lindi, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Navanga, Halmashauri ya Mtama kutumikia kifungo cha miaka 20 gerezani, baada ya kukutwa na h… Read More
Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Mhe. Dkt. Paul Kihwelo akisisitiza jambo alipokuwa anafungua mafunzo ya siku tano kwa Makatibu Muhtasi 56 yaliyoan… Read More
Yusufu Chacha. Mahakama ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara imemhukumu, Yusufu Chacha(22) mkazi wa kijiji cha Nyansurura kwenda jela miaka mitatu na kulipa faini ya Sh milioni 1 baada ya… Read More
Kijana mwenye umri wa miaka 21 amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja gerezani au kulipa faini ya KSh 100,000 sawa na shilingi 2,100,000/- za Tanzania kwa tuhuma za kushiriki wizi dukani.Alvin… Read More
Mwanaume ambaye amekamatwa na kushtakiwa kwa kuiba biblia mbili kwenye duka kubwa jijini Nairobi anasema alichokuwa akitaka ni kumjua Mungu tu.Augustine Wanyonyi, 35, aliambia mahakama kwamb… Read More
KIJANA, Hamad Ali Hamad (25) mkazi wa Chake Chake, Pemba ameanza kutumikia kifungo cha miaka 14 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya kubaka na kutorosha msichana mwenye umri… Read More
Mwandishi Wetu, Singida
Kituo cha sheria na haki za Binaadamu kimejitosa kumtetea Raia wa India aliyekuwa Meneja Mkuu,kiwa da cha mafuta cha Mountmeru Millers Ltd cha Singida, Thilak Kumar(… Read More
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kukiwa na ulinzi mkali.Washtakiwa hao wamefikis… Read More