Mchungaji mmoja kutoka katika Kaunti ya Embu nchini Kenya amefikishwa mahakamani Jumatatu Juni 5,2023 kwa tuhuma za kumbaka muumini wa kanisa lake.
Pasta Benson Mwaniki Njuki wa Kanisa la… Read More
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pauline Gekul akifuatilia kwa makini taarifa inayotolewa na Kamishna Msaidizi wa Magereza ACP Nkonge Edwin alipofika gerezani hapo na timu ya wataalam… Read More
Na Walter Mguluchuma,Katavi.Mwendesha Boda boda Idrisa Said Bayaga(32) wa Kituo cha waendesha pikipiki cha Nyerere Mtaa wa Kawajense Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi amefikishwa mahakamani… Read More
Mshtakiwa Faraji Ramadhani mwenye umri wa miaka 27 ameiomba Mahakama imruhusu ajidhamini mwenyewe kutokana na sehemu zake za siri kutoweka hivyo kupata maumivu makali anapokuwa Mahabus… Read More
MAHAKAMA Kuu Yakubali Ombi la Godbless Lema Kuongezewa Muda wa Rufaa ya Dhamana Yake Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imelikubali ombi la Mbunge wa… Read More
Baadhi ya wadau na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi wakiwa kwenye kikao cha pamoja kupeana mrejesho na namna Bora ya kukabiliana na matukio ya ukatili wilayani hapo hivi kar… Read More
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga leo Ijumaa Mei 15,2020 imetoa maamuzi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoa wa Shinyanga Suleiman Nchambi (CCM) anayeshtakiwa kwa makosa 12 ya Uhuj… Read More
1. UtanguliziKutokana na mwenendo wa ugonjwa wa corona (UVIKO-19) nchini, Kamati ya Wataalamu imeainisha maeneo mahususi yanayohitaji kutiliwa mkazo kupitia afua za kupunguza msongamano kati… Read More
Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, (wa kwanza upande wa kulia waliochuchumaa) akiwa na wenzake Mahakamani**Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Saba… Read More
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, imemfikisha Mahakamani mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Orkitikiti, Kijiji cha Engong’ongare Wilayani Kiteto, Oscar Waluye na ku… Read More
Upande wa Jamhuri umewasilisha pingamizi la awali mahakamani kupinga maombi yaliyowasilishwa na wadhamini Ibrahim Ahmed na Robart Katula wa mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu… Read More
Habari Ndugu Wahariri wa Vyombo vya Habari pamoja na waandishi wa habari mlioko hapa,Kwanza, nianze kwa kuwashukuru sana kwa kuitikia wito wetu.Hii ni mara yangu ya kwanza kuwaiteni kwa leng… Read More
Afisa mtendaji wa Kata Syridion Michael (40) mkazi wa kinondoni amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kinondoni kwa kosa la kujeruhi.Akisomewa hati ya mashtaka mbele ya haki… Read More