Nyimbo Mpya Mp3 Audi… · 11:44 19 Oct 2023
Chuo Kikuu Blog Posts
Maswayetu Blog · 06:53 24 Oct 2023
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mhe. ADAM KIGHOMA MALIMA amewataka wafanyakazi wa mamlaka ya usimamizi wa bandari Tanzania-TPA kutumia michezo ya bandari 2023 kuimarisha afya zao na kuongeza tija… Read More
Maswayetu Blog · 05:53 10 Oct 2023
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametoa wito kwa vyuo vikuu kuzingatia ufanyaji wa tafiti zenye tija nchini ili kuchochea na kuleta ushindani katika gunduzi mbal… Read More
Maswayetu Blog · 10:53 04 Oct 2023
Tafiti na machapisho yenye kukidhi ubora wa ushindani yanaweza kukisaidia Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) katika kupata ufadhili na miradi itakayosaidia kuongeza mapato ya ndani ya chu… Read More
Maswayetu Blog · 05:08 29 Sep 2023
Na mwandishi Maswayetu blog;
Baada ya Serikali ya Jamhuri ya MUUNGANO kuhakikisha
kwamba nafasi za kazi zote Tanzania zinatolewa kwa usawa na uwazi kwa vijana
wote wanaopambana kutafuta k… Read More
Maswayetu Blog · 16:53 23 Sep 2023
Na Mwandishi wetu Malunde Blog Shinyanga
Dkt.Agatha Mgogo ambaye ni Mkurugenzi chuo kikuu huria cha Tanzania mkoa wa Shinyanga ameongoza Mahafali ya Tatu ya darasa la saba 2023 katika Sh… Read More
Maswayetu Blog · 07:53 16 Sep 2023
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi (wa pili kushoto) Septemba 15 , 2023 akiangalia futi kamba nundu anayoitumia Mwanafunz… Read More
Maswayetu Blog · 09:53 08 Sep 2023
Maendeleo ya Teknolojia yamekuja na manufaa makubwa lakini papo hapo katika uandishi wa kazi za kitaaluma yameleta changamoto nyingi ikiwemo utengenezaji wa machapisho kupitia akili bandi… Read More
Maswayetu Blog · 08:54 05 Sep 2023
Na Dotto Kwilasa, DODOMA
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)Prof.Lughano Kusiluka ameishauri Jamii kuona umuhimu wa kuhifadhi maarifa asili kwa kuweka kumbukumbu za mila na… Read More
Maswayetu Blog · 07:52 25 Aug 2023
Mkuu wa wilaya ya Mbulu Kheri James ameongoza msafara wa kukagua mradi wa kuvuna ukungu na maji uliopo mkoani Manyara wilaya ya Mbulu.
Ziara hiyo ilifanyika Leo Agost 23,2023 ikiongozwa… Read More
Maswayetu Blog · 10:52 21 Aug 2023
Siah Malle akitoa tathmini ya miradi ya kiuhandisi iliyobuniwa na wahandisi vijana wa kike katika na Maonesho na Kongamano la 8 la Wanawake Wahandisi Tanzania (TAWECE) yaliyofanyika Zanzib… Read More
Maswayetu Blog · 09:51 12 Jun 2023
Afisa Rasilimali watu mwandamizi wa Barrick Crispin Ngwaji, akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali vya mkoani Mwanza wakati wa kongamano la kuwajengea uwezo lililoandaliwa na ta… Read More
Maswayetu Blog · 10:52 31 Jul 2023
MAHAKAMA kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu Idris Mwakabola kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kumnyonga Happiness Mbonde, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa… Read More
Maswayetu Blog · 14:52 27 Jul 2023
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 27,2023 jijini Dar es Salaam kuhusu ufadhili kwa wahitimu wa Kidato cha Sita wapatao… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 10 Jul 2023
Ni mwaka wa nne sasa tangu nimehitimu masomo yangu ya Chuo Kikuu, nimetafuta kazi na kufanya interview nyingi sana bila mafanikio hali ambayo inaniumiza sana kutokana kuna wadogo zang… Read More
Maswayetu Blog · 20:52 01 Jul 2023
Mashindano ya riadha, maarufu kama Mbio za kimondo yanayoandaliwa kwa pamoja baina ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), ikiwa ni maadhimisho y… Read More
Maswayetu Blog · 10:51 02 Apr 2023
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha mafunzo na uendelezaji wa wafanyakazi benki ya CRDB Edith Muyombela akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) alipoelezea huduma zinazotolewa na be… Read More
Maswayetu Blog · 09:52 30 Apr 2023
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof.William Mwegoha wakati akizungumza na waandishi wa habari katika banda la chuo hicho katika kilele cha Maadhimisho ya maonesho ya wiki ya ubun… Read More
Maswayetu Blog · 12:52 07 Jun 2023
Domo zege , mkono wa sabuni na kila aina ya majina walinipa wote walionijuwa sikuwa kabisa mwenye tabia za kusimama , kuongea wala kuongozana na mwanamke yoyote yule tofauti na ndugu zangu… Read More
Maswayetu Blog · 16:51 22 May 2023
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda anatarajia kufungua maonesho ya nane ya Utafiti na Ubunifu yanayotarajia kuanza Mei 23 - 25, 2023 katika Viwanja vya Maktaba Mpy… Read More
Maswayetu Blog · 17:52 20 May 2023
Na Mwandishi Wetu-SINGIDA
Programu maalumu ya kuhamasisha Utalii wa Ndani maarufu kama 'Nyuki Safari' imefana kwenye Maadhimisho ya siku ya Nyuki Duniani mkoani Singida ambapo wadau wa… Read More
Maswayetu Blog · 08:52 10 May 2023
Sikuamini nilipoambiwa kuwa mwanangu amefaulu mtihani wake wa kidato cha nne mpaka nilipojihakikishia mwenyewe kwa kuangalia matokeo na kumuulizia mwalimu mkuu wake shuleni pale alipokuwa a… Read More
Maswayetu Blog · 14:52 12 Dec 2022
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Mpango (kushoto) akizungumza jambo na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda mara baada ya kufanya ziara ya ku… Read More
Maswayetu Blog · 15:53 17 Apr 2023
Familia moja nchini Marekani inataka uchunguzi wa uhalifu ufanyike kuhusu kifo cha jamaa wao aliyefariki akiwa jela baaa ya kudaiwa kung'atwa na kunguni.
LaShawn Thompson, 35, alipatikan… Read More
News - News Africa N… · 10:46 04 Apr 2023
Na. Catherine Sungura,Dar es Salaam
Serikali itaendelea kuboresha huduma za Maabara zote nchini kwa kuzingatia matakwa ya ulinzi na usalama wa Kibiolojia na kuhakikisha usalama wa watenda ka… Read More
Maswayetu Blog · 14:51 18 Mar 2023
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklin J. Rwezimula ameahidi kuendeleza ushirikiano kati ya Serikali ya Uholanzi na Serikali ya Tanzania katika kuendeleza sek… Read More
Maswayetu Blog · 18:51 14 Feb 2023
Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania (TFC) wameandaa mkutano maalum wa wadau wa sekta ya ushirika unaotarajiwa kufanyika F… Read More
Vicent Web™ · 08:05 04 Feb 2023
Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI February 2023
UTUMISHI (Kuitwa Kazini UTUMISHI, February 2023) – See names recruited for internships at the Public Service Recruitment… Read More