Afrika Kusini na Marekani zitaanza majaribio ya chanjo mpya ya kuzuia VVU na zimeanza kuwaandikisha washiriki kushiriki katika majaribio ya kimatibabu.
Kulingana na shirika la utafiti la… Read More
*****************
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limeamua kutumia Ndege Mpya ya Kisasa ya Mizigo Boeing 767-300 inayomilikiwa na Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania… Read More
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo Dkt Juma Ramadhani katika akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya wauguzi duniani katika Viwanja vya Hospitali… Read More
Wananchi wa kijiji cha Ilobashi Kata ya Masengwa wilayani Shinyanga wakiwa kwenye Kampeni ya uhamasa ya Chanjo ya UVIKO-19, pamoja na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia zikiwamo mimba n… Read More
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yahaya Nawanda akizungumza wakati wa Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji Mkataba wa Lishe, Chanjo na Bima ya Afya kwa Wote kilichohudhuriwa na w… Read More
Na Elimu ya Afya kwa Umma.Baadhi ya wananchi kutoka kata ya Majimoto Halmashauri ya Mpimbwe Wilayani Mlele Mkoa wa Katavi wamepongeza Wizara ya Afya kwa kuanza … Read More
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Faustine Mulutyu akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Novemba 29,2022. Na Kadama Malunde - Malunde 1 blogWatoto walio chini ya umri wa m… Read More
Jengo la Zahanati ya Nyida Halmashauri ya Shinyanga ambalo limejengwa kwa nguvu za wananchi na halijaanza kutumikaMkazi wa Kata ya Nyida akizungumza na mwandishi wa habariAfisa mtendaji Kata… Read More
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akizungumza kwenye kikao cha kuhamasisha chanjo ya UVIKO-19 katika Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko… Read More
Wakazi wa kitongoji cha Bugarama wakifuatilia mada za elimu ya afya wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yaliyoandaliwa na Mgodi wa Bulyanhulu.****Katika kuadhimisha Siku ya UKIMW… Read More
Daktari raia wa Tanzania, Dkt. Mohamed Ali Hafidh anayefanya kazi nchini Uganda aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia, mhudumu wa kwanza wa afya aliyefariki kwa ugonjwa huo katika mlipuko wa… Read More
Mwanaume mwenye umri wa miaka 24 aliyeambukizwa Ebola amefariki dunia katikati mwa Uganda katika mlipuko mpya uliothibitishwa na maafisa wa afya.Waziri wa afya amewaambia waandishi wa habari… Read More
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Adam Malima amewataka wanahabari wa Mkoa wa Mwanza kuwa kioo chake katika kipindi chote Cha uongozi wake.Ameyasema hayo wakati akifungua rasmi mdahalo wa majadiliano j… Read More
*Yasema Kilichallenge imeleta mafanikio mazuri
*Yakusanya Sh bilioni moja
Na Nadhifa Omary, Kilimanjaro
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kagaigai amewapongeza wapanda Mlima Kilimanjaro… Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la THPS, Dkt. Redempta Mbatia akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa afya wa mkoa wa Shinyanga leo Ijumaa Mei 27,2022 Mjini Kahama.Na Kadam… Read More
NAHODHA wa timu ya taifa ya Uswis, Granit Xhaka, alikataa chanjo ya Corona na sasa amepata maambukizi ya virusi vya ugonjwa huo.
Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Idara ya Habari ya Chama ch… Read More