Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (Rural Journalists Association of Tanzania (RUJAT), Neville Meena akizungumza kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa RUJAT uliofanyika k… Read More
Na Mwandishi wetu,Pwani.
*Asisitiza Watanzania wanataka umeme*
*Atoa Pongezi kwa wafanyakazi kwenye mradi huo
*TANESCO wapongezwa kwa hatua ya ujenzi*
Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kupoza U… Read More
Maisha ya binadamu yamejaa mambo mengi sana, kuna mengi ya kidunia unaweza kupitia ukajiona hauna thamani tena kwa jamii, lakini uwepo wa Meridianbet umekuwa ni sehemu ya kurejesha matuma… Read More
Na Munir Shemweta, Ludewa
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (MNEC) Dkt Angeline Mabula amewataka wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutangaza mafanikio ya serika… Read More
****************
Na Mwandishi Wetu,- Kigoma
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Daniel Chongolo amesema Chama hicho kinaelekeza Serikali kuisukuma na kuongeza spidi katika kuhaki… Read More
Na Mwandishi Wetu-Michuzi TV- Mtwara
CHAMA Cha Mapinduzi( CCM) kimeitaka na kuisisitiza Serikali kuhakikisha inaharakisha mchakato wa uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam na kwenye… Read More
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Tanga Alhaj Hasani Ramadhani Mbezi akifungua Kikao cha Baraza la Wazazi la Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga kilichoketi kupokea Taarif… Read More
Makamu Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Muleba, Bw. Muhaji Bushako
****
Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera wametakiwa kuepuka kutumiwa na wanasiasa… Read More
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja baada ya kupokea gawio la Shilingi bilioni 24.6 kutokana na uwekezaji wa Serikali Kuu kwa kushi… Read More
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Fue Mrindoko
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini imek… Read More
Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital
NAIBU Meya wa Manispaa ya Kinondoni wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Rwegasira Samson amezindua Data Base kwa ajili ya kuwasidia vijana wa Wilaya ya Kinondoni… Read More
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga(UVCCM) Ramadhan Omary kulia akiwa na jembe akishiriki kulima na vijana kwa niaba ya Mwenyekiti wa Umoja wa Vija… Read More
Mashua ya matibabu inayotoa huduma Ziwa Victoria
Na Mwandishi wetu
TANGU Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), ambayo ni kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti ilipoanzishwa mwaka 20… Read More
Na Denis Sinkonde, Songwe
VIONGOZI na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ileje mkoani Songwe, wametakiwa kujenga ushirikiano na kuacha vitendo vya majungu na fitina ndani ya cha… Read More
Mwezeshaji kutoka TGNP, Bw.Deogratius Temba wakati akiwasilisha rasimu ya Sera ya Jinsia ya Chama cha CHAUMMA mbele ya Kamati Kuu ya Chama hicho leo Machi 11, 2023 katika ofisi za Chama hich… Read More
Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi Kata ya Imesela ikitembelea ujenzi wa mradi wa choo shule ya msingi Nyika.Kajala Jeremia Katibu Mwenezi na itikadi kata ya Imesela akizungumza kwenye z… Read More
Naibu Waziri,Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira ,Vijana na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi ,akizungumza wakati wa hafla ya kuapisha viongozi wa Chama Cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu… Read More
Mkuu wa Wilaya ya Geita, Kanali Boniphace Maghembe(katikati) akimkabidhi mbegu mkulima wa Alizeti Mhanda Juma(wa tatu kushoto) msaada uliotolewa na kampuni ya Geita Gold Mining Limited.Akish… Read More
Na Ashura Kazinja, Kilombero
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameisisitiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kumsimamia kikamilifu Mkandarasi anayejenga kwa kiw… Read More
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) Jenerali (Mstaafu) George Mwita Waitara ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja wa gofu ambao umebeba jina… Read More
Waendesha Baiskeli wanawake wanaokimbia na ndoo kichwani wakichuana wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Kupinga Rushwa ya Ngono inayoendeshwa na Shirika la KTO kwa kushirikiana na TAKUKURU na F… Read More