NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
Kuelekea Maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mtandao wa Jinsia nchini TGNP Wadau wa Jinsia na Maendeleo GDSS wameendelea kujivunia jukwaa lao a… Read More
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
KUELEKEA tamasha la 15 la jinsia Novemba 7-10, 2023 na Tapo la Ukombozi wa mwanamke Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) unajivunia mafanikio ya baadhi ya sheria… Read More
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo Mhe.Kitila Mkumbo amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Maendeleo ya Mradi wa Uondoshaji Majitaka wa PSSSF, Sinza - Kijitony… Read More
Maendeleo ya Teknolojia yamekuja na manufaa makubwa lakini papo hapo katika uandishi wa kazi za kitaaluma yameleta changamoto nyingi ikiwemo utengenezaji wa machapisho kupitia akili bandi… Read More
Afisa Mawasiliano wa TGNP, Monica John akifungua Semina ya Waandishi wa habari kuelekea tamasha la 15 la kijinsia nchini ambalo litaanza Novemba 7-10, 2023 katika Viwanja vya Mtandao wa Jin… Read More
Waziri wa Ardhi Mhe. Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao cha wakuu wa mikoa na makatibu tawala kinachoendelea katika chuo cha uongozi cha Mwalimu J K Nyerere kibaha mkoani Pwani tar… Read More
Mkutano wa majadiliano wa sekta binafsi na wadau kujadili mchango wa sekta binafsi katika kuzuia maambukizi ya UKIMWI katika Maeneo ya Kazi. Mkutano huo umefanyika leo Augosti 9,2023 Jijini… Read More
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza wakati wa ufunguzi wa Semina ya Kujadili Ushiriki wa Kampuni za Bima nchini kwenye miradi ya Nishati iliyofanyika tarehe 15 Julai, 2023 j… Read More
Na Mariam Kagenda _ Karagwe
Wananchi wa wilaya Karagwe wametoa Salamu za shukrani na Pongezi kwa Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa miradi mikubwa ya kimkakati kila sekta iliyoje… Read More
Mbunge wa Jimbo la Lupembe mkoa wa Njombe Edwin Swale ameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa barabara ya Lami kutoka Kibena Lupembe hadi Madeke ikiwa ni maagizo ya Rais wa Jam… Read More
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja baada ya kupokea gawio la Shilingi bilioni 24.6 kutokana na uwekezaji wa Serikali Kuu kwa kushi… Read More
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha kuandaa mpango wa pamoja wa mawasiliano wa… Read More
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia bajeti ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ya mwaka 2023/2024,huku akitoa ombi kwa serikali kwenye mambo matatu ikiwemo kuanza ujenzi wa b… Read More
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa kufunga Kongamano la kujadili Sera na Mitaala Mipya ya Elimu ya Awali, Msingi, sekondari na Ualimu lililofa… Read More
*Kwakwamisha vijana kujiajiri sekta ya kilimo
Na Ashura Kazinja, Morogoro
UPATIKANAJI wa ajira nchini umeendelea kuwa mgumu mwaka hadi mwaka huku kukiwa na vijana wengi wanaohangaika mtaani… Read More
Na Mwandishi Wetu,Dodoma.
MBUNGE wa Jimbo la Mkinga (CCM) Dastan Kitandula ameishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha bilioni 7 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo na matumizi mengine k… Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dk.Franklin Rwezimula akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul… Read More
WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Jenista Mhagama,akizungumza wakati akifungua Baraza la wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umm… Read More
Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa masuala ya chakula na kilimo utakaofanyika Septemba 5 mpaka 8 mwaka huu.Ijumaa wiki hii (Machi 17), Rais Samia Suluhu Hassan atazindu… Read More
Makamu Rais wa Kampuni mama ya GGML, AngloGold Ashati – anayeshughulikia miradi endelevu Ghana na Tanzania, Simon Shayo akielezea mchango wa GGML katika mdahalo wa miaka miwili ya Seri… Read More
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza katika kikao kazi kati ya Menejimenti ya Wizara ya Ardhi na Makamishna wa Ardhi Wasaidizi wa Mikoa kilichofanyik… Read More