MKAZI wa Kijiji cha Mgongola A Kata ya Kwamgwe wilayani Handeni mkoani Tanga, ameuawa kwa kukatwa kichwa na watu wasiojulikana wakati akichuma mboga shambani.
Akizungumzia tukio hilo lilil… Read More
Mwanaume anayesemekana kuwa na umri wa miaka 20, amefariki dunia baada ya kuanguka kutoka kwa mwamba wa Kit Mikayi eneo la Seme,kaunti ya Kisumu Kenya.Mwanamume alifariki baada ya kuanguka k… Read More
Abdel Raphael (42) Mkazi wa Mtaa wa Uwanja halmashauri ya mji Geita amekutwa amefariki ndani kwake akiwa kwenye mfungo wa siku 30 akitarajia kufufuka Desemba 8Mmoja wa waumini waliokuwa waki… Read More
Mzee wa makamo kutoka wadi ya Mwingi magharibi, Kitui nchini Kenya kwa sasa anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Migwani baada ya kumuua mwanawe.Inasemekana mshukiwa aliyejulikana kwa jina… Read More
MFAHAMU KWA UFUPI MAREHEMU ASKOFU CANON, CAPT, GEORGE YORAM CHITETO, DAYOSISI YA MPWAPWA KANISA ANGLIKANA TANZANIA Na Maiko Luoga +255 762 705 839Mhashamu Baba Askofu Mkuu wa Kanisa Ang… Read More
Scolastica Marada enzi za uhai wake**Familia moja katika kaunti ya Trans Nzoia inaomboleza kufuatia kifo cha jamaa yao kilichotokea baada ya afisa wa polisi kuripotiwa kumpokonya pochi lake… Read More
Spika wa Bunge la Tanzania Dkt Tulia Ackson akiaga mwili wa Spika wa Bunge la Uganda Jacob OulanyahSPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki ibada… Read More
Happy Lazaro, ArushaMwanamke mwingine mkazi wa Njiro, jijini Arusha,Janerose Dewasi(66) ameuawa kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali na anayetuhumiwa ni mfanyakazi wake wa ndani.Tukio hili&n… Read More
MWANAMKE mmoja, Hellen Vuyanzi (35) amejichoma moto yeye na watoto wake wawili kwa kinachodaiwa kuwa ni kutofautiana na mumewe kutokana na wivu wa mapenzi katika Kijiji cha Sirende eneo la b… Read More
Wakaazi wa Kongelai huko Pokot Magharibi nchini Kenya walikula kona kwa hofu na mshtuko wakati mwanaume waliyemdhania kuwa ameaga dunia kuibuka wakati wakiendelea na shughuli za mazishi yake… Read More
Jeneza lililobeba Mwili wa aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Shinyanga David NkulilaMwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi ambaye alikuwa rafiki kipenzi wa marehemu David Nkulil… Read More
Na Andrew Chatwanga,Songea. Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Bw. Alfred Nombo (28) kwa kosa la kuumuwa Bw. Erasto Nchimbi (28) mkazi wa Kijiji cha Sara wilayani Mbinga… Read More
Na Fina Lyimo - MwananchiMkazi wa Kijiji cha Lyamungo Sinde, Zephania Lyimo (72) anadaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya manila kwa madai ya kukasirishwa na mkewe kumshtaki polisi.Kaimu Kam… Read More