Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

UNAPOKOSA ULICHO KITEGEMEA KWA MTU MWENYE MIPANGO, INAKUWA “TOO LATE” KURUDI NYUMA KUANZA KUJIANDAA.

1. Kuna vijana walipuuzia masomo wakitegemea watarithi mali za Wazazi Wao, walipokuja kugundua haiwezekani tena wengi wamechanganyiki
wa.

2. Kunawengine walitegemea wazazi wao ni watu wakubwa kwahiyo mambo yao yatakuwa sawa tu mpaka wanakufa.

3. Kuna wengine walitegemea kwamba kwasababu mume Wake au mke wake ana kisomo au uwezo hakujibiidisha akitegemea kula matunda ya mwenzi wake, walipo korofishana wengi walibaki wakiaibika.

Waswahili Husema:
Mtegemea cha ndugu hufa masikini.

Mch. Peter Mitimingi


This post first appeared on Tanzania Gospel Networkâ„¢, please read the originial post: here

Share the post

UNAPOKOSA ULICHO KITEGEMEA KWA MTU MWENYE MIPANGO, INAKUWA “TOO LATE” KURUDI NYUMA KUANZA KUJIANDAA.

×

Subscribe to Tanzania Gospel Networkâ„¢

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×