Kikosi cha Dharura barabarani kilipokea simu ya dharura kutoka kwa wasamaria wema ikiripoti Tukio la ajabu la mtu aliyecharangwa mapanga katika nje kidogo ya mji wa Bure Miguelinho , huko Pernambuco nchini Brazil. Kikosi kazi hicho kilipofika eneo la tukio kilikutana na tukio la kustaajabisha sana ambalo ni tofauti walichokuwa wakifikiri. Walimkuta kijana mwenye umri unaokadiriwa kuwa na