Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Nuh Mziwanda: Nilipata zore kidato cha nne hiyo haimaanishi kuwa sina akili

Entertaiment imekutana na Nuh Mziwanda na moja kati ya maswali ambayo ameulizwa ni kuhusiana na historia ya elimu yake ya Kidato Cha Nne ambapo Nuh Mziwanda amekiri kuwa matokeo yake ya Kidato cha Nne alipata zero.
‘Mimi nilikuwa sionekani shule hata mwezi na Form Four mimi sikufanya mitihani mitatu na ndio maana nilipopata matokeo yangu kuwa nimepata ziro wala sikushangaa pia familia yangu haikushtuka, yaani mimi nilikuwa nina akili zangu za kuzaliwa na mimi kupata ziro sio kama nimefeli maisha ‘ – Nuh Mziwanda.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

Nuh Mziwanda: Nilipata zore kidato cha nne hiyo haimaanishi kuwa sina akili

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×