Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

TCRA yavuadhibu vituo vinne vya utangazaji

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  imetoa adhabu kali kwa Vituo Vinne Vya utangazaji kwa kukiuka maadili ya utangazaji kwa mujibu wa sheria na kuvitaka viombe radhi siku tatu mfululizo kuanzia leo (Ijumaa) kupitia taarifa ya habari.
Akitoa adhabu hizo, Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya TCRA, Valerie Msoka amesema vitio hivyo vimepewa onyo kali ikiwa ni pamoja na kutozwa faini na kuomba radhi wasikilizaji wake.
Amevitaja vituo hivyo kuwa ni Star TV,Channel ten, Clouds FM na Times FM.



This post first appeared on HABARI ZA SIASA NA MUZIKI, please read the originial post: here

Share the post

TCRA yavuadhibu vituo vinne vya utangazaji

×

Subscribe to Habari Za Siasa Na Muziki

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×