Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Blog Directory  >  Blogging Blogs  >  Maisha Yetu blogging Blog  > 

Wenger Kung'oka Arsenal
2018-04-20 15:39
Mkufunzi na mmiliki wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amethibitisha kuachana na timu hiyo mwisho wa msimu huu mara baada ya kuitumikia kwa muda wa miaka 22 na kuipatia mafanikio mengi timu… Read More
Kauli Ya Serikali Kuhusu Trilioni 1.5
2018-04-20 15:19
WIZARA YA FEDHA NA MIPANGOKAULI YA SERIKALI KUHUSU HOJA YA KUTOONEKANA KWENYE MATUMIZI YA SERIKALI SHILINGI TRILIONI 1.51UTANGULIZI1. Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni ya 49 ya Kanuni… Read More
PFA Yataja Kikosi Bora EPL 2017/18
2018-04-20 02:29
Chama cha Wachezaji wa kulipwa nchini Uingereza (PFA), kimetaja orodha ya kikosi bora cha wachezaji wa ligi hiyo kwa msimu wa 2017/2018.Katika kikosi hicho klabu ya soka ya Manchester United… Read More
2018-04-19 11:58
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema wale wote wanaosema kampeni yake ya kuwasaidia akina mama waliotelekezwa na watoto imevunja sheria, pengine wana watoto nje na wanaogopa k… Read More
Barbara Bush Afariki Dunia
2018-04-18 05:49
Barbara Bush, mke wa aliyekuwa rais wa zamani wa Marekani na mwanaharakati amefariki akiwa na umri wa miaka 92.Barbara Bush, mke wa aliyekuwa rais wa zamani wa Marekani na mwanaharakati amef… Read More
Amani Ya Nchi Ilindwe-Mwinyi
2018-04-18 05:46
Amani ni neno lenye herufi chache lakini lina uzito mkubwa katika uhusiano wa jamii, hivyo viongozi wana wajibu wa kulinda nguzo hiyo kwa kizazi cha sasa na kijacho, lakini pia viongozi wa d… Read More
Upepo Waleta Madhara Kusini Unguja
2018-04-17 07:25
UPOPO mkubwa ulioambatana na mvua, umesababisha baadhi ya wananchi wa mkoa wa kusini Unguja, kuyaacha makaazi yao baada ya nyumba zao kuezuliwa mapaa huku baadhi ya mazao yakiharibiwa.Akizun… Read More
Utetezi Wa Naibu Spika Kwa Mawaziri
2018-04-16 10:57
Naibu Spika, Tulia Ackson amewatetea mawaziri ambao wanashutumiwa kwa kutumia vyombo vya habari kujibu hoja za ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali wiki iliyopita.Tangu Alham… Read More
Man City Bingwa EPL
2018-04-16 10:51
Manchester City ndiyo mabingwa wapya wa ligi kuu nchini Uingereza baada ya kufikisha pointi 87 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote inayoshiriki mashindano hayo msimu huu.Ubingwa… Read More
Simba Na Tanzania Prisons Leo Taifa
2018-04-16 10:39
Klabu ya Simba huenda ikanusa ubingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara, endapo itafanikiwa kuendeleza wimbi la ushindi dhidi ya Tanzania Prisons wanaokutana nao baadae hii leo katika Uwanja… Read More
Fatma Karume Amrithi Tundu Lissu (TLS)
2018-04-15 04:42
Wanasheria kutoka Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kwa pamoja wamemchagua Wakili, Fatma Karume kuwa rais mpya atakaye kiongoza Chama hicho.Aidha, Fatma Karume anachukua nafasi ya mwanas… Read More
2018-04-14 05:28
HABARI kutoka EATV zinasema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wanawake waliotelekezewa watoto kuwa na moyo wa uvumilivu katika kipindi cha mvua ili mradi kila m… Read More
Barcelona Yaomba Radhi Mashabiki
2018-04-14 05:17
Rais wa Barcelona Josep Bartomeu ameomba radhi mashabiki wa klabu hiyo baada ya timu hiyo kutupwa nje katika ligi ya mabingwa Ulaya.Barcelona iliyokuwa ikipewa nafasi ya kusonga mbele, ilion… Read More
Tahadhari Kutoka Mamlaka Ya Hali Ya Hewa
2018-04-14 04:05
Mamlaka ya hali ya hewa iliyopo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania imewatahadharisha wananchi kuwepo kwa vipindi vya mvua kubwa katika maeneo yote ya pwani ku… Read More
TFF Yamtangaza Mchezaji Bora Wa Mwezi Machi
2018-04-14 03:56
Mchezaji wa timu ya Lipuli yenye maskani yake mkoani Iringa, Adam Salamba amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu soka Tanzania Bara (VPL) kwa mwezi Machi.Hayo yamebainishwa na taarifa z… Read More
UEFA Yatoa Ratiba Ya Nusu Fainali
2018-04-13 12:20
Hatimaye droo ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya imepangwa.Katika hatua hiyo Bayern Munich wataanzia nyumbani kucheza na Real Madrid na Liverpool wamepangwa kucheza na AS… Read More
Ruvu Shooting Na Azam Sasa Kupigwa Kesho
2018-04-12 12:55
Mchezo wa ligi kati ya Ruvu Shooting na Azam FC uliokuwa upigwe leo saa 8:00 mchana katika dimba la mabatini, Pwani umeahirishwa kutokana na maji kujaa uwanjani baada ya mvua kubwa kuny… Read More
2018-04-12 05:41
KOCHA Mzambia, George Lwandamina ameondoka kwenda Zambia na habari zinasema anarejea Zesco United ya kwao.Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa alisema kuwa Lwandamina hajato… Read More
Ratiba Ya Nusu Fainali ASFC Yatoka
2018-04-11 06:19
Hatimae shirikisho la soka nchini TFF, limetangaza tarehe za michezo ya hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho (Azam Sports Federation Cup).TFF wametangaza Aprili 20 na Aprili 21, 2018… Read More
Lionel Messi Apata Shavu UNWTO
2018-04-10 06:23
Mshambuliaji wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi amesaini dili nono na shirika la ‘World Tourism Organisation’ (UNWTO) linalojishughulisha na masuala ya utalii ambalo linafanya… Read More
Spika Ndugai Aeleza Hali Ya Afya Yake
2018-04-10 06:11
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kurudi salama kutoka nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu.Ameyasema hayo Bungeni mjini D… Read More
Simba Yaendeleza Kipigo
2018-04-10 06:02
Simba SC imeendelea kujikusanyia alama katika Ligi Kuu Bara baada ya kuilaza Mtibwa Sugar FC kwa bao 1-0 jioni ya jana kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.Mchezo huo uliokuwa unaambatana… Read More

Subscribe to Maisha Yetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×