AMWAGIWA Tindikali Kisa Mapenzi...!!! MATUKIO yanayohusiana na mapenzi yameendelea kuwa tishio nchini baada ya mwanamke mmoja, Helen John (25) kumwagiwa tindikali na mpenzi wake na kumfanya jicho lake lisione. Hellen ambaye ni mkazi wa kijiji cha Kwamhosi kata ya Nkumba wilayani Muheza