Agness Masogange Mahakamani Tena Leo Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la. Masogange anatarajiwa