Samatta Apania Makubwa Ulaya..Aapa Kuilaza Mapema Celta Vigo..!!! MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania na timu ya KR Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta, amesema anaamini timu hiyo itaibuka na ushindi nyumbani katika mchezo wa marudiano dhidi ya Celta Vigo na kufuzu nusu fainali ya michuano ya Europa