Wabunge wa CCM Wamkaba Koo Waziri wa Magufuli...Waunga na na Upinzani Kudai Katiba Mpya...!!! Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amebanwa na wabunge kuhusu mchakato wa Katiba Mpya. Jana ilikuwa mara ya kwanza kwa Profesa Kabudi kufika mbele ya Kamati ya Katiba na