Achana na Tukio la ROMA na Wenzake…. Mwinjilisti Dar Atekwa, Auwawa...!!!! Huku tukio la msanii wa Hip Hop, Ibrahim Mussa 'Roma Mkatoliki' na wasanii wenzake watatu kutekwa studio likiwa bado halijapoa, mwinjilisti aliyefahamika kwa jina la Onoratus Mwinuka (51), mkazi wa Mabwepande jijini Dar,