Biashara Yamshinda Ini Edo Ini Edo. IMEFICHUKA kwamba mkongwe wa filamu kutoka Nollywood, Ini Edo ameshindwa biashara na kuamua kufunga klabu yake kubwa na maarufu ya Mimz iliyopo Lekki, Lagos. Inaelezwa kuwa, klabu hiyo imedumu kwa muda wa miaka miwili tu tangu aifungue Septemba 2015 huku