Kimenukaa..Gwajima Afunguka Mazito Kanisani Kwake..Adai Ametishiwa Kifo na Hata Maliza Wiki Hii Akiwa Salama..!!! Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amesema kuwa ametishiwa kifo na kundi la watu asiowafahamu. Gwajima amesema hayo alipokuwa akihubiri katika kanisa lake