RPC Kinondoni Akana Kuhusika na Zuio la Mkutano wa Nape Nnauye,Afunguka Juu ya Askari Kuonyesha Bastola..!!! Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Susan Kaganda, amesema kuwa yeye hakutoa maelekezo ya kuzuia mkutano wa aliyekuwa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye pamoja na