Kudadeki..Lissu Azidi Kuinyoosha Serikali ya CCM,Aibuka na Hoja Hizi Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa TLC Ambao Serikali Haitaki Yeye Agombee...!!! MWANASIASA na mwanaharakati maarufu nchini, Tundu Lissu (49), ana uwezekano mkubwa wa kushinda nafasi ya urais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS)