Lema Kuachia Waraka Mzito Kwa Rais Magufuli..!!!! Waraka wa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema kuachiwa juma lijalo. Waraka huo, niliopata bahati ya kuuchungulia, unabeba mambo muhimu yahusuyo hasa haki za binaadamu. Mambo hayo yalionwa na kusikiwa na Lema alipokuwa Mahabusu Kisongo kwa takribani