Hali ya Rais Robert Mugabe Yazidi Kuwa Mbaya, Apelekwa Singapore Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe ameenda nchini Singapore kufanya vipimo vya Afya yake, siku chache baada ya sherehe ya kufikisha miaka 93. Afya ya kiongozi huyo imekua dhaifu zaidi, na sasa anapata shida hata kutembea wakati wa matukio mbalimbali ya