Mwalimu Afumaniwa na Mwanafunzi Wake Kitandani Mkuu wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Agness Hokororo amemuweka rumande Mwalimu mmoja wa Shule ya Sekondani Matolo kwa madai ya kufumaniwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wa kidato cha nne shuleni hapo. Hokororo alisema kuwa tukio lilitokea jana baada ya Mwalimu huyo