Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

TAHADHARI KWA WOTE MNAOTUMIA WHATSAPP PAMOJA NA FACEBOOK, BOFYA HAPA

Tahadhari Kwa Wote Mnaotumia program ya WhatsApp pamoja na Facebook. Taarifa zilizopo nikwamba program ya WhatsApp inamilikiwa na Facebook kwaiyo pasipokuinyima Facebook ruhusa basi taarifa zako zote za WhatsApp akaunti zitatumiwa na program ya Facebook.

Jambo hili sio zuri kabisa kiusalama yaani cyber security, kwaiyo basi fungua WhatsApp yako kisha fuata maelekezo yaliyopo kwenye picha kuanzia namba 1,2,3 hadi picha ya mwisho ambayo haina namba ili kuinyima ruhusa Facebook isiweze kutumia taarifa zako za WhatsApp pasipo ruhusa yako wewe.

Ila kama unapenda taarifa zako za whatsApp zitumiwe na facebook basi unaweza kuiacha bila kubadiri kitu chochote.

Nimshukuru sana mtangazaji wa BBC swahili Zuhra Yunus kwa ku-share nami habari hii, nawe wajulishe wenzio sasa.



This post first appeared on Mutalemwa, please read the originial post: here

Share the post

TAHADHARI KWA WOTE MNAOTUMIA WHATSAPP PAMOJA NA FACEBOOK, BOFYA HAPA

×

Subscribe to Mutalemwa

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×