Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Diamond azungumzia ujumbe alioandika Wema Sepetu kuhusu tatizo lake la kutopata mtoto!

Kwa muda mrefu, Diamond Platnumz alikuwa akilijua tatizo la mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu la kutoshika mimba. Akiongea na kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa. Alisema ilifika wakati alimweleza tu kuwa akubali hali hiyo. Kuhusu kile Wema alichokiandika kwenye



This post first appeared on Bongojunior, please read the originial post: here

Share the post

Diamond azungumzia ujumbe alioandika Wema Sepetu kuhusu tatizo lake la kutopata mtoto!

×

Subscribe to Bongojunior

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×