Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Tweets 6 za Waziri Bernard MEMBE zenye majibu ya kinachoendelea South Africa..

Ishu ya mashambulizi ambayo yametokea Afrika Kusini imechukua HEADLINES kwa zaidi ya wiki moja.. labda hakuna aliyetegemea hali hii kujirudia, sio mara ya kwanza kuona wageni wakishambuliwa Afrika Kusini.. Picha na Video ziko nyingi Whatsapp zinaonesha watu wanauawa, wengine wanaumizwa. Hizi ni Tweets sita za Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameandika kuhusu



This post first appeared on Bongojunior, please read the originial post: here

Share the post

Tweets 6 za Waziri Bernard MEMBE zenye majibu ya kinachoendelea South Africa..

×

Subscribe to Bongojunior

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×