Ishu ya mashambulizi ambayo yametokea Afrika Kusini imechukua HEADLINES kwa zaidi ya wiki moja.. labda hakuna aliyetegemea hali hii kujirudia, sio mara ya kwanza kuona wageni wakishambuliwa Afrika Kusini.. Picha na Video ziko nyingi Whatsapp zinaonesha watu wanauawa, wengine wanaumizwa. Hizi ni Tweets sita za Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameandika kuhusu