Alshabaab lakiri kutekeleza shambulizi Stori ambayo imechukua Headlines tangu asubuhi ya leo April 02 ni Taarifa kutoka kwa wenzetu Kenya kutokana na lile shambulio la kigaidi limehusishwa na kikundi cha Kigaidi cha Al-Shabaab na hii ni baada ya kuvamia Garissa College University, huu ni muendelezo wa kile kilichoripotiwa mwanzo. Maafisa wa polisi wakikabiliana na wapiganaji huko Garissa