Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Huenda haya hukuwahi kuyasikia toka kwa Diamond Platnumz… Yako hapa #Hekaheka

Kwenye Leo Tena alikuwepo Diamond Platnumz pamoja na meneja wake, Babu Tale.. kama kawaida ya show ya Leo Tena pale huwa ni story nyingi nyingi zinakuwa zinaendelea, lakini Diamond nae akashea na watu wake kuhusu HEKAHEKA aliyowahi kukutana nayo. Kulikuwa na maswali pia ambayo ilibidi Diamond ayajibu, mengi yalitoka kwa wasikilizaji wa show hiyo. Ikaulizwa kuhusu tetesi za yeye na Meneja wake



This post first appeared on Bongojunior, please read the originial post: here

Share the post

Huenda haya hukuwahi kuyasikia toka kwa Diamond Platnumz… Yako hapa #Hekaheka

×

Subscribe to Bongojunior

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×