Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Picha: RAIS MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE UWANJA WA CCM KIRUMBA


Rais Magufuli ameingia Uwanjani wa Ccm Kirumba Mwanza jijini Mwanza huku akipokewa Kwa Shangwe na vigeregere kutoka kila kona ya uwanja huo uliofurika.



Rais Magufuli aliingia uwanjani hapo saa 3: 14 asubuhi leo Jumatatu Desemba 9, 2019 akiwa kwenye gari la wazi akiongozwa na pikipiki nane gari moja mbele na nyingine nyuma.


Ameingilia mkono wa kushoto mwa uwanja na kuuzunguka akiwapungia wananchi mikono huku akishangiliwa kila alipopita wakati ukiimbwa wimbo wa taifa.






This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Picha: RAIS MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA KWA SHANGWE UWANJA WA CCM KIRUMBA

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×