Get Even More Visitors To Your Blog, Upgrade To A Business Listing >>

Tangazo La Nafasi Za Masomk Form One, Darasa la Kwanza, Pili na Wanaotaka Kuhamia shule za lake Tanganyika

Tangazo ! Tangazo ;
Uongozi wa shule za lake Tanganyika zilizopo kijiji cha Mkigo wilaya ya kigoma vijijini mkoani kigoma unapenda kuwatangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2020 kama ifuatavyo;


2.Nafasi za kujiunga na Kidato Cha kwanza,na pia nafasi za kuhamia kwa kidato cha pili na tatu 

3.Pia kuna nafasi kuhamia za kidato cha tano  kwa comb HGK,HKL,HGL 

Shule ina  mazingira mazuri na ina  walimu wazoefu
Shule za lake Tanganyika zinamilikiwa na waktisto (SDA ) 

Ada zetu ni nafuu sana na zinalipwa awamu nne  kwa mwaka kwa upande wa secondary ada kwa mwaka ni 700000/= laki saba tu,na A- level karo ni laki saba na hamsini elfu ,750000/= na kwa upande wa  primary ada ni laki Tisa 900000/= tu kwa mwaka 

Nyote mnakaribishwa lake Tanganyika high school and pre and primary English medium 

Shule zote ni za bweni na kutwa kwa primary tu na pia ni mchanganyiko wavulana na wasichana 

Karibu lake Tanganyika ndo   suhulisho la  mwanao 

Kwa mawasiliano; 0769697667
0763091810
0756417203
0742208879
0692212326
0627557839 




This post first appeared on MASWAYETU, please read the originial post: here

Share the post

Tangazo La Nafasi Za Masomk Form One, Darasa la Kwanza, Pili na Wanaotaka Kuhamia shule za lake Tanganyika

×

Subscribe to Maswayetu

Get updates delivered right to your inbox!

Thank you for your subscription

×